niwatetezi wake kwa kuwa wote wameishia darasa la 3C, pia wote wanaelim ya kasino.Huwa nashangaa sana akili ndogo inaongoza akili kubwa. Watu kama Dr.Kitilia. Prof. Baregu, Zitto, Prof.Safari, na wengine wengi wote wapo chini ya Mbowe, Ndiyo maana unaona watu kama Sugu ndiyo watetezi wake.
acha kujizalilisha na sum ulizonyeshwa na mcheza shoo. wewe wa wapi? mbona hufananii na pumba unazolopoka? au bangi za mchana izo???magamba yaliyosoma yametufikisha hapa tulipo,ndo majiz ya epa,richmond,na yaliyotuingiza katika mikata ya kiendawazimu
wakati kura imeshapigwa?...huyu jamaa kumbe ana madharau etieeh.Kwanza, nilichotaka kusema ni kutoa hoja ya kuomba shughuli za Bunge zisitishwe kwa muda ili Kamati ya Uongozi ya Bunge ijadili makandokando yote ambayo yalikuwa yametokea juu ya muswada huo, ukiwamo uongo wa mwenyekiti wa kamati ya Bunge, uongo wa serikali bungeni na masuala mengine yote, ili sasa Bunge lipate mwelekeo chanya juu ya muswada huo na mchakato mzima wa Katiba Mpya kwa masilahi ya wananchi.
Hivyo hoja yangu ilikuwa muhimu sana kusikilizwa, ili viongozi wakutane kuokoa jahazi na kuondoa sintofahamu ambayo hatimaye imesababisha mjadala mkubwa na muswada mbovu kupitishwa bungeni kwa masilahi ya upande mmoja wa CCM, Mbowe alikaririwa akisema.
Ukiwatumbukizia issue za minyanya yao ya sembe hapa wote wanaitoweka kama kwenye sehemu iliyopulizwa insectcide.Naona magamba leo mmeambiwa mtalipwa buku 8 mmekunywa chai lakini?
Meli ya Kinana iliyobeba meno ya Tembo nayo imesajiliwa Tanzania kama ile ya Bangi ya Italia?
Ukiwatumbukizia issue za minyanya yao ya sembe hapa wote wanatoweka kama mbu na inzi kwenye sehemu iliyopulizwa insectcide.Naona magamba leo mmeambiwa mtalipwa buku 8 mmekunywa chai lakini?
Unajua maana ya kuwa msemaji wewe kichwa maji.....? Hapo amenukuu kauli ya Mbowe we unaleta upunguani....Maccm mna macho lakini hamuoni, mna masikio lakini hamsikii....Enyi Maccm nani kawalogaaaa!!!!!Wewe ndie msemaji mkuu wa huyo kiongozi?