JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,758
- 2,769
Salaam wakuu.
Nina mpango wa kununua Toyota HiAce kwaajili ya kufanya kazi kama daladala. Kuna kitu nimeshindwa kuelewa kama nichague yenye engine ya 2000 au 3000. Pia kuna option ya manual au automatic. Na pia diesel au Petrol. Naombeni msaada kwa wenye uzoefu katika magari wakuu.
Nina mpango wa kununua Toyota HiAce kwaajili ya kufanya kazi kama daladala. Kuna kitu nimeshindwa kuelewa kama nichague yenye engine ya 2000 au 3000. Pia kuna option ya manual au automatic. Na pia diesel au Petrol. Naombeni msaada kwa wenye uzoefu katika magari wakuu.