Hi

Hi

Biblia inasema mwanamke mjinga.....ila jamaa kwenye bongo fleva akaamua kuongezea na wanaume.... I am trying hard kujenga hii nyumba yangu na Filipo ila kuna muda naona anataka kuivunja kwa uzembe....

Napambana na majaribu na mapepo na hakika Bwana ananionekania. Hakika nitashinda maana vita yetu si ya miili bali ni roho!
I love you sana my love!
 
Last edited by a moderator:
Msipohama itabidi mwezi wa tatu mpande juu ya mti ili mpate netiweki

He he heh hehe.......Hatuhitaji msongamano kabisa......Nyie wote hameni mie na Filipo tutabaki tukijimwaga kwa raha zetu......
 
Last edited by a moderator:
He he heh hehe.......Hatuhitaji msongamano kabisa......Nyie wote hameni mie na Filipo tutabaki tukijimwaga kwa raha zetu......

Achana nao hao mke wangu! Wanahitaji maombi ya kutoa pepo la kuvuruga ndoa za watu!
 
Last edited by a moderator:
He he heh hehe.......Hatuhitaji msongamano kabisa......Nyie wote hameni mie na Filipo tutabaki tukijimwaga kwa raha zetu......

Mtakutana na mapicha picha ndio hapo mtajua nini maana ya dijitali, ushauri wa bure nakupa sisteri marejesho.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom