Uzoefu una majibu tofauti na hii,wapo wanawake japo sio wote wanakua na mwanaume wa kutoa hela,mwanaume wa kuuzia sura na mwanaume wa "shughuli",so inawezekana wapo wanaume wa aina hiyo lakini sio wote!
Mmmtswadaktaaa!...
mwanzo mzuri sana huu...
iwapo mwanaume atajitosheleza vyote hivyo mwanamke atakuwa na haja gani ya kumanga manga nje?
...hata "nature".......inakubaliana na janga hili!
"...mwanamke huhitaji kila kitu kwa mwanaume mmoja,
mwanaume anahitaji kitu kimoja kwa kila mwanamke..."
Lakini Mbu,hata kama kuna mapungufu inabidi uyakubali na kukabiliana nayo sio kukimbia nje!
Mbu napata mashaka na maelezo yako mwanaume amejishoteleza yukoje...au unataka kutuambia kuna viumbe vilivo kamili kwenye ulimwengu huu!