ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
Wakubwa,
Sasa hivi nimepata sms toka sehemu nisiyojua imejiandika CCM ajaribu kuangalia sorce yake ilikotoka sipati number ujumbe umeandikwa hivi " Vyama vya siasa vilivyoandikishwa Tanzania ni 18 lakini hakuna hata cha kimoja ukiviweka kwenye mizani vitafikia CCM, Chagua CCM chagua KIKWETE" Sender CCM
Najiuliza hivi hawa ma operator wa mitandao yetu wameshajiingiza kwenye kampeni? Je tume ya Mawasiliano inachukua hatua gani? Juzi tukaambiwa tumekuwa tukichangia 10% kwenye CCM bila sisi kujujua.
Naanza kukosa imani na hii mitandao yetu, ni matawi ya CCM haya.
Sasa hivi nimepata sms toka sehemu nisiyojua imejiandika CCM ajaribu kuangalia sorce yake ilikotoka sipati number ujumbe umeandikwa hivi " Vyama vya siasa vilivyoandikishwa Tanzania ni 18 lakini hakuna hata cha kimoja ukiviweka kwenye mizani vitafikia CCM, Chagua CCM chagua KIKWETE" Sender CCM
Najiuliza hivi hawa ma operator wa mitandao yetu wameshajiingiza kwenye kampeni? Je tume ya Mawasiliano inachukua hatua gani? Juzi tukaambiwa tumekuwa tukichangia 10% kwenye CCM bila sisi kujujua.
Naanza kukosa imani na hii mitandao yetu, ni matawi ya CCM haya.