Y yasintha Member Mar 30, 2012 27 2 Mar 30, 2012 #1 Habari zenu natumaini mko pouwa Kama member mpya wa JF natumaini mtanipokea.
Mbwiga_Plus Senior Member Jan 5, 2011 163 42 Mar 30, 2012 #2 yasintha said: Habari zenu natumaini mko pouwa Kama member mpya wa JF natumaini mtanipokea. Click to expand... Karibu sana.. mwenzetu watoke wapi? Kuna Juis na togwa kwenye friji, utakula nini? Please jiskie nyumbani!
yasintha said: Habari zenu natumaini mko pouwa Kama member mpya wa JF natumaini mtanipokea. Click to expand... Karibu sana.. mwenzetu watoke wapi? Kuna Juis na togwa kwenye friji, utakula nini? Please jiskie nyumbani!
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Aug 17, 2011 37,444 25,591 Mar 30, 2012 #3 ingia mpaka chumbani ruksa.
Mbwiga_Plus Senior Member Jan 5, 2011 163 42 Mar 30, 2012 #4 tedo said: ingia mpaka chumbani ruksa. Click to expand... Eti anamuogopa mke wako! Aisee angalia asije akamwagiwa tindikali mwenzio!
tedo said: ingia mpaka chumbani ruksa. Click to expand... Eti anamuogopa mke wako! Aisee angalia asije akamwagiwa tindikali mwenzio!
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,725 Mar 30, 2012 #5 yasintha said: Habari zenu natumaini mko pouwa Kama member mpya wa JF natumaini mtanipokea. Click to expand... Karibu sana mdada! Hapa umefika, sema utakalo uhudumiwe! Halafu jina lako kama nalijua vile!
yasintha said: Habari zenu natumaini mko pouwa Kama member mpya wa JF natumaini mtanipokea. Click to expand... Karibu sana mdada! Hapa umefika, sema utakalo uhudumiwe! Halafu jina lako kama nalijua vile!
O-man JF-Expert Member Nov 17, 2011 323 65 Mar 30, 2012 #6 yasintha said: Habari zenu natumaini mko pouwa Kama member mpya wa JF natumaini mtanipokea. Click to expand... Karibu utupatie mchango wako (wa mawazo).
yasintha said: Habari zenu natumaini mko pouwa Kama member mpya wa JF natumaini mtanipokea. Click to expand... Karibu utupatie mchango wako (wa mawazo).
dubu JF-Expert Member Oct 18, 2011 3,496 3,461 Mar 30, 2012 #7 karibu sana mkuu. pitia sheria za jf kwanza kabla ya kufanya chochote.
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Apr 1, 2012 #10 Karibu sana Yasintha katika jukwaa hili la Great Thinkers. Jisikie huru. If you need anything you know where to find me.
Karibu sana Yasintha katika jukwaa hili la Great Thinkers. Jisikie huru. If you need anything you know where to find me.