wadau,
biashara ya Mult-level marketing naomba ufafanuzi kwa yeyote anayejua hii kitu plz
Nahukuru sana kwa ufafanuzi wako.....je utawezaje kuchagua the right company sasa maan nyingi zinakuja na wengi wanakuwa wanafanya kama machinga? ambayo imesababisha watu wengi kukata tamaa??