We kweli ni kenge Israel na USA vita huwa hawaviwezi zaidi ya kuvunja majumba ndio sababu wakikuambia tumepiga target zote ujuwe hawana walilo piga zaidi ya civilian target kwa kuvunja majumba na kuwauwa wanawake, vizee na watoto huwa mmeshinda lakini kuvunja silaha au kuwauwa askari hakuna lolote unless mvizie vizie kama mlivyo fanya Iran mnawambia tupo kwenye peace talk afu mnashambulia hahaha au mpate kibaraka mliye muhonga mabillion ya pesa ili awambie siri zao kama mlivyo fanya kwa Nasurlah zaidi ya hapo hamna lolote