Hezbullah anavyo mcharaza Israel

Hezbullah anavyo mcharaza Israel

Wapi nimezungumzia Surah Al imran? mie nimekupa Al Maida ushazeeka sana naona unasahau hadi kusoma maandiko yenu. Surah 5:21 ni Al Maidah

Quran imeandikwa na jahil aka Mjinga, mwenye sifa za kurogwa, mbakaji,mwizi,taperi,dhurumaji aliyefanyiwa operation mara mbili na Jibril aliyebeba widom kwenye dishi akapasua kifu chake kisha akajazwa hizo wisdom yaaani ujinga ujinga tu wa Mohammad. mara ngapi nimekufundisha aya muhimu za kuonesha Mungu sio mmoja katika uislam ? na wewe akili zako za ubongo wa panzi?

Hahaha Yesu alisema Mungu ni Baba yake haya na wewe sema Allah ni baba yako, Yesu alisema yeye ni nuru na asiyemfuata yeye atapata uzima wa milele, haha sasa utabaizwa lini maana yeye alibatizwa hahaha, Alisema yeye yumo ndani ya Baba yake na baba yake yupo ndani yake unakubali? Niambie katika aliyosema Yesu wewe unafuata kipi? nimemiss kucheka hahahaha unaamini Yesu akija atakuhukumu? maana Mtume wako anaamini atahukumuwa na Yesu.

Alisema na wayahudi wakataka kumuua au hujui kisa chake? Alisema yeye ni Mungu wakasema amekufuru Before Ibrahim i AM(YHWH) hivi wewe kuna kitu unnafahamu kabisa? Kasome Yohana 5:26 Kama vile Baba alivyo chanzo cha uzima, hali kad halika amemwezesha Mwanae kuwa chanzo cha uzima.

Kisha kasome 2 Yahaya 17:1 nimekupa hilo jia ili upate kuamini Yohana si mnamuita Yahaya.

Katika hii kitu huwa hamsoni yote aya why? Yesu ni Roho ya Allah, Yesu ni Messenger na Yesu ni Neno au mnaogopa maana hivyo ndio sifa kuu ya Allah wenu na Yesu vipo kwake vyote Quran 4:171

Mathayo 28:19 Yesu aliwaambia wanafunzi wake: "Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba (1), na la Mwana,(2) na la Roho Mtakatifu" (3) Vipi na nyie why Three imetamalaki katika uislam kutawadha kusema bismillah n.k hadi kusukutua na ukikojaa unatakiwa ukitike uboo mara tatu unauelewa wowote kuhusu tatu? au nikupe elimu a i know huna hiyo elimu am here to help Muslims ask tu usione aibu

Alitumwa yes kwa Kondoo waliopotea wa Israel ila alikuja sema vizuri na Kondoo wengine kasome

Yohana 10:16-18​

16 ;Ninao kondoo wengine ambao si wa zizi hili; nao pia itanibidi niwalete, nao wataisikia sauti yangu. Hivyo patakuwa na kundi moja na mchungaji mmoja. 17 ;Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena. 18; Hakuna mtu atakayeondoa uhai wangu, bali ninautoa mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa uhai wangu na pia ninao uwezo wa kuuchukua tena. Hii ni amri niliyopo kea kutoka kwa Baba yangu.”


Umechapia ni Al imran 67

Mbona umekwepa Quran Al Imran 67 Tafiri halal unaweka Tafsir kibudu hahaha Kwa hiyo Hanif ni Islam?

مَا كَانَ إِبۡرَٰهِيمُ يَهُودِيّٗا وَلَا نَصۡرَانِيّٗا وَلَٰكِن كَانَ حَنِيفٗا مُّسۡلِمٗا وَمَا كَانَ مِنَ ٱلۡمُشۡرِكِينَ
Maa kaana Ibraaheemu Yahoodiyyanw wa laa Nasraa niyyanw wa laakin kaana Haneefam Muslimanw wa maa kaana minal mushrikeen

Sasa unapodai wewe Ibrahim hakuwa Kafir sasa naomba Tafsiri ya Hanif maana Quran inasema Ibrahim alikuwa Hanif inamaa Nyie ni Hanif kuna mwenzako huku siku za nyuma nishamsahau nilimpa fundisho akapotea hakuwa na raha kuitwa Hanif
Verse za Quran zimewekwa na Mjinga japo amecopy kwa wengine tatizo lake alizibadilisha zionekane mpya huku hajui anaharibu wasomi wakizisikia.

Etymology​

The term ḥanīf comes from the Arabic root -n-f meaning "to incline, to decline" or "to turn or bend sideways" from the Syriac root of the different meaning “to deceive, to turn pagan, to lead into paganism”. The Syriac word refers to pagans and deceivers.<a The Arabic is defined as "true believer,

Hujaacha tu Ujinga unajua Bakka ipo Jordan na sio Makkah historical na kila kitu Mecca karne ya 6 ilikuwa ni jangwa ukitaka debate hii njoo na thread tofauti nikuumbue kila nyanja na imani yako ianguke puuu

Unajua katika maelezo yote ya Mji wa Bacca na Mecca nini kinachofanana. ? hizi vitu watu wa historia washapitia wakamaliza bora ungeseam Petra jibu hayo ya juu kisha nikupe elimu nzima ya Histora nahisi unahitaji elimu kuhusu miji unadhani waislam na wana zuoni kuzusha Bakka na kuisingizia ndio Mecca wana ujanja wao

Kumbuka unawazungumzia Waisrael hahaha
View: https://www.youtube.com/shorts/YyBL4JFG6I8?feature=share


View: https://youtu.be/uozietUble4


View: https://youtu.be/40DclW84HkM


View: https://youtu.be/sOTaNZIa_C4

Sikiliza hizo video upate elimu kisha toa maoni maana wewe wewe unabishia kila kitu

Mwanazuoni umerudia ,napenda kusikiliza madini yako

Hakika najifunza mengi ,na mapya kila siku
 
Wako wapi wale makenge waliye sema Hezbullah imekwisha

Echolima1 Mzee Kigogo Mlaleo

Nendeni mkawasaidie mashogo wenzenu kule Lebanon wanacharazwa vibaya sana mpaa magazeti ya mashoga wenzenu wanalia eti Israel hawana experience ya kupigana na Hezbullah hahaha


View: https://youtu.be/_68snI24Foo?si=qWhRQdA6p5wRdBJq

Hahaha Israel wanalia tu huko kazi yao kubomoa majengo ndiyo ushindi wa vita kwao lakini hawana uwezo wowote, nimeona zile drones wanazopigwa siyo mchezo.
 
Hahaha Israel wanalia tu huko kazi yao kubomoa majengo ndiyo ushindi wa vita kwao lakini hawana uwezo wowote, nimeona zile drones wanazopigwa siyo mchezo.
Israel wanalia wanapo wauwa Magaidi wa Hezbollah na kubomoa miundombinu yao ya kigaidi hukohuko walikojificha!!
 
Israel wanalia wanapo wauwa Magaidi wa Hezbollah na kubomoa miundombinu yao ya kigaidi hukohuko walikojificha!!
Hezbollah launched a large-scale coordinated drone swarm attack on northern Israel Tuesday, in what a security source described as the most significant drone attack on Israel to date, i24NEWS can reveal.

The assault came in two waves. In the first, two drones were launched toward IDF forces in southern Lebanon, wounding two soldiers, one moderately and one lightly. Two additional drones were launched toward a target on the northern border, starting a fire. The Air Force attempted to intercept some of the drones.
 
Hezbollah launched a large-scale coordinated drone swarm attack on northern Israel Tuesday, in what a security source described as the most significant drone attack on Israel to date, i24NEWS can reveal.

The assault came in two waves. In the first, two drones were launched toward IDF forces in southern Lebanon, wounding two soldiers, one moderately and one lightly. Two additional drones were launched toward a target on the northern border, starting a fire. The Air Force attempted to intercept some of the drones.
Kwa akili yako kiduchu unafikiri ukiandika kiingereza basi sisi Wamatumbi tutauamini huo UHARO wako!!

Kwa kipondo wanachopata magaidi wa Hezbollah inability tu tuwahurumie lakini kwa sababu kipondo hicho walijitakia wao wenyewe Acha tu wabondwe maana hakuna namna nyingine ya kuwasaidia!!
 
Kwa akili yako kiduchu unafikiri ukiandika kiingereza basi sisi Wamatumbi tutauamini huo UHARO wako!!

Kwa kipondo wanachopata magaidi wa Hezbollah inability tu tuwahurumie lakini kwa sababu kipondo hicho walijitakia wao wenyewe Acha tu wabondwe maana hakuna namna nyingine ya kuwasaidia!!
Mzee wa Uharo

Soma hii kiswahili.

Hezbollah ilisema mapema Jumatatu kwamba ilifanya mashambulizi 24 yakilenga nafasi za jeshi la Israeli, wanajeshi na magari ya kijeshi kusini mwa Lebanon katika saa 24 zilizopita.
Kundi hilo lilisema mashambulizi hayo yalilenga mikusanyiko ya wanajeshi wa Israeli, vifaru vya Merkava, tingatinga za D9, vifaa vya kijeshi na vituo vipya vya amri katika maeneo kadhaa ya mpakani ikiwemo Khiam, Deir Seryan, Tayr Harfa, Bayyada, Rashaf na Naqoura.
Ilisema operesheni hizo zilihusisha ndege zisizo na rubani zenye milipuko, makombora ya roketi, makombora ya mizinga na makombora yanayoongozwa, ikidai "mashambulizi yaliyothibitishwa" katika mashambulizi kadhaa.
Kundi hilo lilisema mashambulizi hayo yalifanywa kujibu ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano ya Israeli na mashambulizi dhidi ya raia na vijiji kusini mwa Lebanon.

Ving'ora vya mashambulizi ya anga vililia Jumapili jioni katika maeneo kadhaa ya Upper Galilee ya Israeli kwa mara ya pili ndani ya saa chache kufuatia ripoti za uvamizi wa ndege zisizo na rubani kutoka Lebanon, kulingana na gazeti la kila siku la Yedioth Ahronoth la Israeli.

Jeshi la Israeli lilisema jeshi la anga lilizuia "lengo la angani linalotiliwa shaka" lililorushwa kutoka Lebanon baada ya ving'ora kuamilishwa katika maeneo ya kaskazini, wakidai tukio hilo lilikuwa "ukiukwaji mwingine" wa makubaliano ya kusitisha mapigano na Hezbollah.
Licha ya kusitisha mapigano kuwepo tangu Aprili 17, ambayo baadaye iliongezwa hadi katikati ya Mei, jeshi la Israeli linaendelea kufanya mashambulizi ya kila siku nchini Lebanon na kubadilishana risasi na Hezbollah.
Mashambulizi ya Israeli dhidi ya Lebanon tangu Machi 2, muda mfupi baada ya vita vya Iran kuanza mwishoni mwa Februari, yamewaua watu 2,846, yamejeruhi 8,693 na kuwafanya zaidi ya milioni 1 wahame makazi.
Pia inadumisha kile kinachoitwa "eneo la ulinzi" katika eneo la Lebanon.
Marekani imepangwa kuandaa mazungumzo ya amani kati ya nchi hizo mbili Mei 14-15 huko Washington, DC.
 
FPV drones zinawamaliza askari wa Israel, hivi sasa Hezbollah wana zile drones za fiber optic baada ya Israel kuanza ku jam drones za kawaida, fiber optic drones imekosa majibu toka kwa Israel na baadhi ya maofisa wamekiri hawawezi kuzizuia hizo drones.

Hii vita pasipo US kuingilia kati, Hezbollah na Iran wangeiharibu vibaya mno Israel na kutoa fundisho la karne.
 
Mzee wa Uharo

Soma hii kiswahili.

Hezbollah ilisema mapema Jumatatu kwamba ilifanya mashambulizi 24 yakilenga nafasi za jeshi la Israeli, wanajeshi na magari ya kijeshi kusini mwa Lebanon katika saa 24 zilizopita.
Kundi hilo lilisema mashambulizi hayo yalilenga mikusanyiko ya wanajeshi wa Israeli, vifaru vya Merkava, tingatinga za D9, vifaa vya kijeshi na vituo vipya vya amri katika maeneo kadhaa ya mpakani ikiwemo Khiam, Deir Seryan, Tayr Harfa, Bayyada, Rashaf na Naqoura.
Ilisema operesheni hizo zilihusisha ndege zisizo na rubani zenye milipuko, makombora ya roketi, makombora ya mizinga na makombora yanayoongozwa, ikidai "mashambulizi yaliyothibitishwa" katika mashambulizi kadhaa.
Kundi hilo lilisema mashambulizi hayo yalifanywa kujibu ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano ya Israeli na mashambulizi dhidi ya raia na vijiji kusini mwa Lebanon.

Ving'ora vya mashambulizi ya anga vililia Jumapili jioni katika maeneo kadhaa ya Upper Galilee ya Israeli kwa mara ya pili ndani ya saa chache kufuatia ripoti za uvamizi wa ndege zisizo na rubani kutoka Lebanon, kulingana na gazeti la kila siku la Yedioth Ahronoth la Israeli.

Jeshi la Israeli lilisema jeshi la anga lilizuia "lengo la angani linalotiliwa shaka" lililorushwa kutoka Lebanon baada ya ving'ora kuamilishwa katika maeneo ya kaskazini, wakidai tukio hilo lilikuwa "ukiukwaji mwingine" wa makubaliano ya kusitisha mapigano na Hezbollah.
Licha ya kusitisha mapigano kuwepo tangu Aprili 17, ambayo baadaye iliongezwa hadi katikati ya Mei, jeshi la Israeli linaendelea kufanya mashambulizi ya kila siku nchini Lebanon na kubadilishana risasi na Hezbollah.
Mashambulizi ya Israeli dhidi ya Lebanon tangu Machi 2, muda mfupi baada ya vita vya Iran kuanza mwishoni mwa Februari, yamewaua watu 2,846, yamejeruhi 8,693 na kuwafanya zaidi ya milioni 1 wahame makazi.
Pia inadumisha kile kinachoitwa "eneo la ulinzi" katika eneo la Lebanon.
Marekani imepangwa kuandaa mazungumzo ya amani kati ya nchi hizo mbili Mei 14-15 huko Washington, DC.
Acha Ujinga IDF inadhibiti Lebanon-Kusini huo UHARO wako huu kawadanganye huko msikitini kwenu!!
 
Wapigweeee tu.
tu.mana wajinga wajinga Wamekimbia Ulaya kwenda kupeleka Usodoma kwenye miji mitakatatifu💀💀💀💀💀💀
 
Acha Ujinga IDF inadhibiti Lebanon-Kusini huo UHARO wako huu kawadanganye huko msikitini kwenu!!
Wewe hujui kitu kinaitwa Military Strategy Plan Hezbullah kuwavuta Israel ndani ya ardhi wasio ijua ni njia nzuri ya kuwashinda hao tatizo hujui Military tactics wewe umeisha zowea kutolewa kimavi huko Tela Aviv utajua wapi.mbinu za kijeshi
 
Wewe hujui kitu kinaitwa Military Strategy Plan Hezbullah kuwavuta Israel ndani ya ardhi wasio ijua ni njia nzuri ya kuwashinda hao tatizo hujui Military tactics wewe umeisha zowea kutolewa kimavi huko Tela Aviv utajua wapi.mbinu za kijeshi
Eneo lenu kutekwa na majeshi ya adui kwako wewe ni Military tactics!!!
 
Eneo lenu kutekwa na majeshi ya adui kwako wewe ni Military tactics!!!
Mzee wa Uharo.

Hezbollah imeanza kutumia ndege zisizo na rubani maalum zinazoongozwa na nyuzinyuzi (FPV - First Person View) kushambulia wanajeshi wa Israeli na miundombinu kaskazini mwa Israeli na kusini mwa Lebanon, hasa kuanzia mwishoni mwa Aprili 2026 na kuendelea, na kuzifanya kuwa vigumu zaidi kuzigundua na kuzipunguza.
 
Hahaha Mzee wa Uharo kapanic😂

Unazijua drones za fiber optic?
Eti drone za fiber-Optic!!!

Niambie zimekomboa eneo la Lebanon-Kusini?

Au utuambie hizo drone zimewasaidia nini magaidi hao?

Angalia wanavyobondwa Hezbollah!!!
 

Attachments

  • IMG_20260513_145112_844.jpg
    IMG_20260513_145112_844.jpg
    145 KB · Views: 6
  • VID_20260513_145113_352.mp4
    1.7 MB
  • IMG_20260513_145113_422.jpg
    IMG_20260513_145113_422.jpg
    131.8 KB · Views: 7
  • IMG_20260513_145112_836.jpg
    IMG_20260513_145112_836.jpg
    138.5 KB · Views: 7
  • IMG_20260513_145113_484.jpg
    IMG_20260513_145113_484.jpg
    304.4 KB · Views: 3
  • IMG_20260513_145113_467.jpg
    IMG_20260513_145113_467.jpg
    214.7 KB · Views: 4
  • IMG_20260513_145113_108.jpg
    IMG_20260513_145113_108.jpg
    157.9 KB · Views: 5
  • IMG_20260513_145113_063.jpg
    IMG_20260513_145113_063.jpg
    215.3 KB · Views: 4
  • VID_20260513_145113_274.mp4
    2.5 MB
  • IMG_20260513_145113_340.jpg
    IMG_20260513_145113_340.jpg
    253.9 KB · Views: 9
Wapigweeee tu.
tu.mana wajinga wajinga Wamekimbia Ulaya kwenda kupeleka Usodoma kwenye miji mitakatatifu💀💀💀💀💀💀
Majeshi ya Israel yakilijenga daraja la Ritan wewe mwarabu--koko unaendelea kuteseka na kusema Wapigweeee
 
Eti drone za fiber-Optic!!!

Niambie zimekomboa eneo la Lebanon-Kusini?

Au utuambie hizo drone zimewasaidia nini magaidi hao?

Angalia wanavyobondwa Hezbollah!!!
Kenge hivi hujui Hezbullah wako ndani ya Israel kule Al Jalili ( Galilee) bila sucrose border weme uteka mji kwa drones tu, we endelea kulishwa matango na Israel mimi nakuletea habari za kweli sio wewe unaleta kanga hapa


View: https://youtu.be/CMDDfUiLvpY?si=KvO8-K7cXjaA9gtJ
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2026-05-13 at 3.50.08 PM.mp4
    1.6 MB
Echolima1 kidogo umekuwa na ushabiki wa maandazi !!!

sasa Adiosamigo anakuekea picha Hezbollah wakiwauwa Wanajeshi wa Israel yani IDF

wewe unaleta picha
Jeshi la Anga la Israeli likipiga miji ya Lebanon!!!

Na unadai Hezbollah wanakufa!!!!

kuna tofaut apo
hatuoni wakifa Hezbollah

lkn tunaona miji ikipigwa!!

HEZBOLLAH inauwa live wanajeshi wa Israel ✍️
 
Back
Top Bottom