Hezbollah waliendaga wapi? Netanyahu aongezwe kwenye biblia

Hezbollah waliendaga wapi? Netanyahu aongezwe kwenye biblia

Hezbollah, waliishiaga wapi? Hawa watu liaminishwa ni hatari kuliko Hamas
Wapo, waliomuua kiongozi wao ni US si Israel... Israel hawana ndege yenye uwezo wa kubeba bunker buster nzito.

Jeshi la Israel lilishindwa kuingia Lebanon. walipambana wakadhibitiwa na Hezbollah.

Yote na yote wapo vizuri sana, kupambana na nchi kama Israel ikisaidiwa na US hata TPDF iungane na KDF na UPDF hawana uwezo kupambana na IDF inayopewa msaada wa kila aina toka US na Magharibi.
 
Mzayuni ni tegemezi wa msaada wa US
Na ikitokea Raisi wa US Kama ilivyo Trump Yukon poa kutoa mabilioni ya hela ya silaha, mzayuni ataonekane ni mshindi kila siku
Ikitokea Kama ilivyotokea 2006 wakati wa Bush,hakuwapa senti ya msaada, walikula kipondo
 
Wapo, waliomuua kiongozi wao ni US si Israel... Israel hawana ndege yenye uwezo wa kubeba bunker buster nzito.

Jeshi la Israel lilishindwa kuingia Lebanon. walipambana wakadhiitiwa na Hezbollah.

Yote na yote wapo vizuri sana, kupambana na nchi kama Israel ikisaidiwa na US hata TPDF iungane na KDF na UPDF hawana uwezo kupambana na IDF inayopewa msaada wa kila aina toka US na Magharibi.
😂 Kelele zote hizi n kuonyesha Israel sio kitu sio chochote na hapo hapo makobaz kila mwaka mnasema mtamfuta Israel kwenye uso wa dunia Lkn mpaka sasa mnapasuliwa vilivyo 😂

Kiongozi wa Iran aliuawa na Israel akiwa kwenye ndege, vp h imeisahau? 😂


Kama Israel anamtegemea USA, bc na nyie makobaz tafuteni sponsor wa kuwasaidia mumuondoe Israel hapo 😂
 
Mzayuni ni tegemezi wa msaada wa US
Na ikitokea Raisi wa US Kama ilivyo Trump Yukon poa kutoa mabilioni ya hela ya silaha, mzayuni ataonekane ni mshindi kila siku
Ikitokea Kama ilivyotokea 2006 wakati wa Bush,hakuwapa senti ya msaada, walikula kipondo
Sasa kobaz unalia nn?
C na nyie Mtafute tegemezi ili mumuondoe Israel kwenye uso wa dunia 😂
 
Wapo, waliomuua kiongozi wao ni US si Israel... Israel hawana ndege yenye uwezo wa kubeba bunker buster nzito.

Jeshi la Israel lilishindwa kuingia Lebanon. walipambana wakadhiitiwa na Hezbollah.

Yote na yote wapo vizuri sana, kupambana na nchi kama Israel ikisaidiwa na US hata TPDF iungane na KDF na UPDF hawana uwezo kupambana na IDF inayopewa msaada wa kila aina toka US na Magharibi.
Kwa sasa wamekaa kwa adabu baada ya Israel kufyeka uongozi karibia wote. Nusrallah aliamini msaada kutoka Iran na kujijichimbia kwenye mahandaki kungemsaidia. Lile bomu lilikata hadi pete aliyokuwa amevaa kwenye kidole.
 
Wapo, waliomuua kiongozi wao ni US si Israel... Israel hawana ndege yenye uwezo wa kubeba bunker buster nzito.

Jeshi la Israel lilishindwa kuingia Lebanon. walipambana wakadhiitiwa na Hezbollah.

Yote na yote wapo vizuri sana, kupambana na nchi kama Israel ikisaidiwa na US hata TPDF iungane na KDF na UPDF hawana uwezo kupambana na IDF inayopewa msaada wa kila aina toka US na Magharibi.
Ujinga mtupu unaandika hapa!!!!
Kwanza kabisa unajitoa ufahamu kutokujua kuwa Maraekani na Israel ni Washirika harafu unadai viongozi wao waliuwawa na Marekani unakwepa aibu ya Kupigwa na Israel? Anyway ukatae au ukubali Israel ndiyo iliyowamaliza nguvu Hezbollah mliokuwa mnawaramba makalio kwa kuwasifia kila jambo na kuwapa sifa ambazo zilikuwa haziwastahili kabisa sasa hivi wamesambaratishwa na wanapigwa kama Ngoma na hawana ubavu wa kurusha hata jiwe huko Israel.

Unadanganya wajinga wenzako kuwa IDF haijawahi kuingia Lebanon hebu soma hapo chini uone wanaume walivyoangamizwa huko kusini mwa Lebanon na kuwachakaza magaidi hao!!!

View: https://x.com/tbnisrael/status/1966216347026686264?s=61

View: https://x.com/jewishwarrior13/status/1861382614617088401?s=61

View: https://x.com/idf/status/1846258005764886660?s=61

View: https://x.com/mossadil/status/1845345899729330640?s=61

View: https://x.com/documentisrael/status/1841481925300560341?s=61
 
Tuliaminishwa na wavaa madera kwa Hezbollah ikiongozwa na gaidi wao mkuu bibi nasrallah ni kiboko ya Israel.
 
Kwa sasa wamekaa kwa adabu baada ya Israel kufyeka uongozi karibia wote. Nusrallah aliamini msaada kutoka Iran na kujijichimbia kwenye mahandaki kungemsaidia. Lile bomu lilikata hadi pete aliyokuwa amevaa kwenye kidole.
Israel ndio muarobaini wa magaidi ya kidini
 

View: https://youtu.be/fEv46brfZ5U?si=oaIooeppYs6263gB

Nyie mnao uliza Hezbullah wako wapi, huyo mnaye msifu kawamaliza Hezbullah jana alikuwa ana lalamika Hezbullah atatushambulia ana ngojea kupewa green light na Iran 😄

We huoni kila kukicha ana shambulia Lebanon sababu PM wa Lebanon na Foreign Ministry wa Lebanon wanawapa support Isreal na wako against Hezbullah. Wanazuia Hezbullah asijibu wakati wao wanasema Israel anahaki kushambulia Hezbullah hivi hao kweli wa Lebanon au ni mapuppet wa USA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom