Me natafuta mtoto tuu...grama za mimba ni za mwanamke mimi natumia gharama kumlea tu.sina time na demu.......malezi uwe tayari kumuachia bibi yake mama yangu amleee....uhuru wa likizo ni juu ya mama.
Nafikiri your not serious, so watu hawana haja ya kuchangia kitu ambacho ni cha mzaha manake kama kweli wewe unataka damu yako tu na wala siyo mke basi imwage mbegu yako kwenye tt kisha incubert for 40wks at tmp 37[SUP]o[/SUP]c. kisha atazaliwa mtt umpelekee bibi yake
hahahaha!mimi kazi zangu naweza ondoka dar nikarudi baada ya miaka miwili hadi mitatu tena niko porini na nikirudisina muda na demu zaidi ni kumsalimu bmkubwa na kwenda tena huko