M MASHOW Member Jan 20, 2012 34 1 Jan 24, 2012 #1 Nafurahi kujiunga nanyi humu nategemea ushirikiano mkubwa thanx, Hivi kitendo cha serikali kutosikiliza madaktari na madai yao ni kuwatendea haki wattanzania na wapiga kura wao?
Nafurahi kujiunga nanyi humu nategemea ushirikiano mkubwa thanx, Hivi kitendo cha serikali kutosikiliza madaktari na madai yao ni kuwatendea haki wattanzania na wapiga kura wao?
Mpita Njia JF-Expert Member Mar 3, 2008 6,997 1,163 Jan 24, 2012 #2 Karibu sana. Hilo swali lako ipo thread inazungumzia jambo hilo, itafute utapata jibu huko
Mmasi Senior Member Oct 26, 2011 164 15 Jan 24, 2012 #3 Mashoo we ni mchaga na dhani welc'...e uje na mawazo mema.
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Jan 24, 2012 #5 Karibu sana JF. Tegemea kupata ushirikiano mkubwa kutoka kwangu
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Jan 26, 2012 #10 MASHOW said: Nafurahi kujiunga nanyi humu nategemea ushirikiano mkubwa thanx, Hivi kitendo cha serikali kutosikiliza madaktari na madai yao ni kuwatendea haki wattanzania na wapiga kura wao? Click to expand... Karibu sana JF
MASHOW said: Nafurahi kujiunga nanyi humu nategemea ushirikiano mkubwa thanx, Hivi kitendo cha serikali kutosikiliza madaktari na madai yao ni kuwatendea haki wattanzania na wapiga kura wao? Click to expand... Karibu sana JF