Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Fuatilia Madame KH, kusanya rekodi zako zote za kuwaonyesha kwamba huna deni nao au siku za usoni wanaweza kabisa kukuadhiri. Nimeliona jina la Madame KH
BAK,
Najitahidi kufuatilia...Asante. Umeliona eeh... Nakuambia hawa wananifanya mimi nionekane tapeli..sio haki kabisa!