jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,126
- 35,975
Kweli kabisa ngoja tusubiri bach zijajo..hivi utaratibu wa kukata rufaa ukoje kama ukikosa mkopo bach zote.bado subiri kidogo, hiyo ni round(batch) ya kwanza!
Kweli kabisa ngoja tusubiri bach zijajo..hivi utaratibu wa kukata rufaa ukoje kama ukikosa mkopo bach zote.bado subiri kidogo, hiyo ni round(batch) ya kwanza!
Dah process ndefu majina hutoka hata semester ya kwanza mwishoniKweli kabisa ngoja tusubiri bach zijajo..hivi utaratibu wa kukata rufaa ukoje kama ukikosa mkopo bach zote.
Duuh..majanga ngoja tuone inakuaje..ila si mpka bach zote ziishe au hata hii ya kwanza.Dah process ndefu majina hutoka hata semester ya kwanza mwishoni
Hadi ziishe, wamesema zote zinatolewa mwezi huu huuDuuh..majanga ngoja tuone inakuaje..ila si mpka bach zote ziishe au hata hii ya kwanza.
Oky..let's hope for the best.Hadi ziishe, wamesema zote zinatolewa mwezi huu huu
Du uliomba sanView attachment 611862 Thanks God!
kwa ambae aliomba mkopo kitu tayari huko HESLB
UDSM mkuu!we ume sajiliwa chuo gan
Google "Heslb" halafu tafuta link ya OLAMSUmeingiaje mkuu mpaka ukafanikiwa kuingia
NIT mkuu!Upo chuo gani boss
majina haya hapaGoogle "Heslb" halafu tafuta link ya OLAMS
yaanDu uliomba san
We ya kwako inasomaje?kama mtu hajapata mkopo batch ya kwanza application status ake inasoma vp?
wewe ukikuta tu maneno mekundu ujue hujapata, hata usipo yasoma!kama mtu hajapata mkopo batch ya kwanza application status ake inasoma vp?
kuna mtu nimemuangalizia, hapa naona kwenye application status yake inamwambia a print complete form, then hamna status ya kuonesha kuwa she is secured or not.We ya kwako inasomaje?
akaunti niliyoangalia mkuu mi inamaelezo ya kuhusu vitu vya kufanya na fomu za kujaza kuwa print complete form basi.wewe ukikuta tu maneno mekundu ujue hujapata, hata usipo yasoma!
ukikuta mengi mengi na number number ujue umepata
ukifungua tu, bonyeza neno la kwanza mkono wako wa kushoto pameandikwa LOAN ALLOCATION 2017/18akaunti niliyoangalia mkuu mi inamaelezo ya kuhusu vitu vya kufanya na fomu za kujaza kuwa print complete form basi.
poa mkuu ngoja nicheki.ukifungua tu, bonyeza neno la kwanza mkono wako wa kushoto pameandikwa LOAN ALLOCATION 2017/18