HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

Mh. Raisi, Mr John Pombe Magufuli..

Naomba kuchuka dakika chache kukushukuru kwa kutuwezesha sisi vijana kupata mikopo ya elimu ya juu, kwa hakika umetusaidia sana. Japokuwa inaweza ikawa sio wote tulioweza kuwa ''beneficiaries'' lakini nina imani Serikali yako sikivu inajitahidi kwa hali na mali kuhakikisha wanafunzi wote wanapata mikopo ya uhakika ya elimu ya juu kama ulivyotuahidi kwenye kampeni zako.

Sisi vijana tunakuahidi hatutakuangusha katika masomo yetu na tutafanya kila juhudi kuhakikisha kauli yako ya HAPA KAZI TU inatimia.

Mwenyezi Mungu Akubariki sana.

Ni mimi ''Loan Beneficiary of This Year 2015/2016''

Kizito Martin Chuwa.
 
Asante ya nini wakati ni wajibu wa serikali kufanya hayo na mengine mengi kwenu, ndo maana wenzetu wakenya wameendelea akienda dukani anasema nataka sio naomba
 
Asante ya nini wakati ni wajibu wa serikali kufanya hayo na mengine mengi kwenu, ndo maana wenzetu wakenya wameendelea akienda dukani anasema nataka sio naomba

Shukrani iliyotolewa hapo sio kwa shuruti..

Kwani mtu hawezi kukutendea jambo ambalo ni haki yako na ukamshukuru...?Kwa mfano wajibu wa mzazi ni kuhakikisha watoto na wanafamilia wengine wanapata mahitaji ya muhimu kama chakula, mavazi n.k...... Vipi watoto hawapaswi kumshukuru mama au baba yao kisa ni wajibu wao kuwatimizia..?

Embu turudisheni ule Utanzania wa awali jamani.

Shukrani haikupunguzii kitu.
 
Katika utafiti usiokuwa rasmi nimegundua kuwa asilimia kubwa ya wanafunzi walioomba vyuo kupitia NACTE mpaka muda huu hawaja patiwa mikopo,##NB; UTAFITI BINAFSI
 
Habar z hum ndan wapendwa? Naomba mniangalizie km nmept mkopo; S1051/0021/2004

tudent with Index number 'S1051.0021.2004' did not secure a higher education loan for 2015/16 academic year in the FIRST & SECOND LOTS of allocations.
 
umetumia reason sana..kitendo cha lowassakuwaambia wafananishe serikali aliyotaka kuiunda yeye na serikali ya mhe.magufuli..lengo lake ni kutimiza lengo la elimu bure yaani kuondoa michango yote shuleni na higher education wapewe 100% loan

Nani aliye wadanganya wanafunz wote wamepewa mkopo ? Kuna zaidi ya wanafunz wasiopungua 29253 elfu bado hawajajua hatima yao ya mkopo
 
Kumetokea aina Fulani ya ubaguzi kwa walioomba Mikopo kwa sifa ya diploma kwani asilimia kubwa yetu hatujapata Mikopo na dalili zilizopo ni kwamba tunaweza kupigwa chini kwa wao kuimagine tayari tutakuwa kazini kwahiyo tutaweza kajilipia,kwahiyo nashauri tuunganishe mawazo ni kivipi tutapeleka kilio chetu kisikike kwa Bodi ya Mikopo ili wasitupuuzie,uongozi wa udsm umekaza mpaka Leo mikopo wengi wamepata sasa sisi tukikaa kimya haitatusaidia.
weka Namba nikuunge kundi la whatsap tujadili.

Kweli kabisa ata mimi nipo pamoja nawe woteeeeee tuliotokea diploma kwa washkaj ninaowajua hakua aliye pata mkopo ata mmoja 0763251440-duttu
 
Hakika wewe ndio miongoni mwa maraic ambao nilitamani watokee kuliongoza taifa la TZ unajali hali za wanyonge kiukwel big up ndoto za kuelekea unii zilikua zimeshafifia.
 
Shukrani iliyotolewa hapo sio kwa shuruti..

Kwani mtu hawezi kukutendea jambo ambalo ni haki yako na ukamshukuru...?Kwa mfano wajibu wa mzazi ni kuhakikisha watoto na wanafamilia wengine wanapata mahitaji ya muhimu kama chakula, mavazi n.k...... Vipi watoto hawapaswi kumshukuru mama au baba yao kisa ni wajibu wao kuwatimizia..?

Embu turudisheni ule Utanzania wa awali jamani.

Shukrani haikupunguzii kitu.

Great thinker indeed
 
Back
Top Bottom