Kama ni kweli ni jambo zuri sana na ndiyo maana ya Upinzani, mimi binafsi napenda Raisi atoke bado CCM ila tuwe na upinzani mzuri na wenye tija kwa sababu bado naamini kabisa kwamba hakuna Chama cha Upinzani kilichokuwa tayari KUONGOZA TanZania!
Hivyo litakuwa ni jambo jema kama Upinzani wana uwezo wa kuisimamia serikali na kuhakikisha haiwi lege lege!
s3169/0037/2014tupia namba nifanye yng chapu...
tupia namba nifanye yng chapu...
niangalie aisee
S.2458/0059/2011 abdala hashim abdala
Mmepata wotes1669/0158/2011 na s1661/0049/2011
S.1247.0059.2010 Mariam Mabina
dah asante MUNGU nimepataaaaaaaaaaaaaaaa
kwan ni namba ya form ngapi inatakiwa kuweka? na ukiingiza ya form 6 inaleta majibu?
vp wapo wa hostel na day na tofauti ya gharama zao zinakuajehawapewi, ada ni laki sita kwa mwaka,
Mungu mkubwa na amani sana moyon nimepata bum. sasa n msuli wa maana naomba uzima ee baba niweze kukitumia vyema kipawa ulicho nipa baba pia mbariki baba yetu Magufuli kwa kazi njem anayoifanya
bado inasomeka not secure kwa hiyo bado