mods please i flush kunakohusika hii kitu ya hawa madogo wakichina maana haitusaidii hapa kwenye siasa...
Kwani wewe siasa unaielewa vipi? Mambo ya East Africa unaona sio siasa? Usijiingize kwenye kundi la mambumbumbu tafadhali.
mods please i flush kunakohusika hii kitu ya hawa madogo wakichina maana haitusaidii hapa kwenye siasa...
Nilifikiri mnajua kuchambua hoja za vikao kumbe mmekalia majungu tu. Sina time hiyo.
Kwani wewe siasa unaielewa vipi? Mambo ya East Africa unaona sio siasa? Usijiingize kwenye kundi la mambumbumbu tafadhali.
jamani huyo si mwenyekiti,ni mtoa hoja anataka kubadili mada.kashamchamba mwenyekiti na sasa anataka kuamishia huku.NARUDIA HUYU SI MWENYEKITI,wana JF musipoteze muda.