witacha matiku
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 678
- 126
ikiwa wanafunzi 1,121 waliofanya marekebisho mbalimbali wakisubiri kwa hamu kujua nini kitajili ila kutoka jikoni ni kuwa watatoa baada ya siku 3 (tatu) kikubwa ni kuomba sana Mungu ili afanikishe hili ,,,,,,,,,2.note;watanzania tumekuwa na tabia ya kujuana kwnye raha mfano kuna watu ambao awali hawakuwa na mkopo lakini kupitia movement mbalimbali kuna baadhi wakawa wanapewa na wengine kwa umbali wao hawakushiriki ktk movement za kudai huo mkopo ila waliokuwa wanaendesha movement hizi wakawa wanaleta taarifa humu jamvn na hata wengine wakatoa mobile phone kwa mawasiliano zaidi cha ajabu ktk harakati kuna watu wakapewa na hata kuangalziwa kama amepewa anatuma index number kwa kuhitaji msaada lakini akishafanikisha hakuna cha shukrani wala hata kupiga simu kujua wenzake wamefikia wapi hata awape mchango wa mawazo ilo ni tatizo"tunajuana kwa vilemba" hii tabia ni wazi iko kwa akina dada hasa hasa akiwa ameshikwa ndio utaona comment humu jamvn ila kama hana shida hatoi hata comment;angalizo tubadilike jamani