ngebo
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 1,679
- 2,105
Yani novemba 30 ndo iwe mwisho wa kusubmit rufaa au?? Na hiyo batch 3 yatoka lini?Nilikuwa naangalia taarifa ya habari ITV Naibu Waziri wa Elimu Ndg Ole Nasha alikuwa bodi ya mikopo ya wanafunzi,nashangaa wanaongelea rufaa kwa waliokosa mkopo iwe tayari kabla ya Novemba 30 wakati hata bach ya 3 na zingine bado kiasi cha wanafunzi 9000 walobaki, na kwenye dashboard ya bodi wanasema batches zingine ni baada wanafunzi kuwa tayari wameandikishwa vyuoni.