amos nicholaus
Member
- Sep 20, 2015
- 22
- 61
guyz muwe mnaelewa na hii nchi yetu yaan hayo majina ni ya udsm coz wenyewe chuo j3 na nyie mnao log in kwenye account zenu mnajisumbua hamtakuta kitu mtajitia presha tu coz server ya Tanzania iko COSTECH tu pale sayansi na watumiaj ni weng then hamna wajuz wa it utakuja ku log in ukute na mambo ya tcu kwenye account yako ya HESLB majina yatakuwa released kidogo kidogo kulingana na ufunguaji wa chuo sasa wewe kama umepangiwa white university tulia tu mpaka tar 20 hiv btw THIS IS TANZANIA