Mbaya zaidi wanabambika watu madeni, unakuta umejisomesha mwenyewe kwa shida, halafu unakuta mshahara wako 15% haipo ukifuatilia unaambiwa bodi...mpaka ukomai irudi sio leo mateso...saa nyingine upo mkoani uende mpaka dar? garama tena... Hawa watu ni kwa nini wakati wa kuomba mkopo unajaza mkataba lakini wakati wa kukata watumishi hawaangalii mkataba wa mtu aliyejaza ndiye akatwe?