engineerm
Senior Member
- Aug 30, 2011
- 106
- 19
Yaani website ya hii board ni matatizo kabisa bora TCU wako systematic. Nimelipia elfu 30,000 tangu jana gharama ya kuapply mkopo HESLB lakini nahangaika tangu jana kila nikiingiza Transaction ID hazitambuliki sijui inakuwaje hapa unalipia harafu bado maatatizo, please HESLB rekebisheni hili mbona TCU ukikwangua kile kikadi chao ukaingiza namba zile wala hazisumbui kabisa?