Bodi ya mkopo kwa wanafunzi wanaboa sana unakuta watoto ya tima na walemavu wananyimwa mkopo
Kwakweli hawa wafanya kazi wa dodi hii wamechoka kazi, Magufuli anajitahidi sana kukusanya hela kwa majizi lakini wao bado wanabania hela hadi kwa mayatima na walemavu
Magufuli naomba ulitambue hili maana yote uliyoyaadini kwa yatima na walemavu bodi ya mkopo ndo inawaonea sana hao watu, Rais wetu MAGUFULI liangalie hili