City Rider
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 403
- 1,210
Nipo na Bwana mdogo mmoja mtoto wa mkulima amekata tamaa ya kuendelea na First year pale IFM sababu status yake inaonyesha hajawa verified na RITA akiingia RITA kila kitu kiko sawa.
Nimemshauri afike BODI YA MIKOPO na cheti chake verified lakini amevunjwa moyo kuwa kwa mwaka huu haitawezekana.
Swali kwenu HESLB: Inawezekanaje mtu ashindwe kupewa mkopo sababu ya small errors kwenye cheti cha RITA ? Na kama errors zimetokea kwenu inakuaje mnakatisha ambitions za kijana mdogo kama huyu, Ina maana hakuna room kabisa ya kurekebisha application yake? Mwisho nimeumizwa sana.
Kuna mtu mwingine mwenye changamoto hii?
Nimemshauri afike BODI YA MIKOPO na cheti chake verified lakini amevunjwa moyo kuwa kwa mwaka huu haitawezekana.
Swali kwenu HESLB: Inawezekanaje mtu ashindwe kupewa mkopo sababu ya small errors kwenye cheti cha RITA ? Na kama errors zimetokea kwenu inakuaje mnakatisha ambitions za kijana mdogo kama huyu, Ina maana hakuna room kabisa ya kurekebisha application yake? Mwisho nimeumizwa sana.
Kuna mtu mwingine mwenye changamoto hii?