Heshimu mwanaume anayekupa malisho

Heshimu mwanaume anayekupa malisho

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
9,761
Reaction score
15,577
Material create God is LOVE, Mungu ni pendo.
Mapenzi ni hisia kama huna hisia njoo tukuombee.

Kuna story nimeitoa kwenye maandiko matakatifu ikieleza Mwanamke ni nani kwa Mwanaume.

Palikuwa na watu wawili katika mji mmoja; mmoja wao alikuwa tajiri, wa pili maskini. Yule tajiri alikuwa na kondoo na ng’ombe wengi sana, bali yule maskini hakuwa na kitu, ila mwana kondoo mmoja, mdogo, ambaye amemnunua na kumlea, naye akakua pamoja naye, na pamoja na wanawe; hula sehemu ya posho lake, na kukinywea kikombe chake, na kulala kifuani mwake, akawa kwake kama binti.

Hata msafiri mmoja akamfikilia yule tajiri, naye akaacha kutwaa mmoja wa kondoo zake mwenyewe au mmoja wa ng’ombe zake mwenyewe, ili kumwandalia yule msafiri aliyemfikilia, bali alimnyang’anya yule maskini mwana-kondoo wake, akamwandalia yule mtu aliyemfikilia.

Unafikiri kosa au uwovu wa Tajiri ni mkubwa kiasi gani?

Kondoo (Mfugo)- Mwanamke.
Msafiri - Nyege zinazompata mwanaume mara kwa mara.

Wanaume tunawapenda sana mabinti jamani hisia zetu hazielezeki, life without sex to us ni kama maisha bila kula yani ni kushinda njaa.

Sasa Mwanaume, Tafuta Kondoo wako mmoja mtiifu atakaye lidhika na chakula unacho mpa (pesa) alafu ishigi ukikamua maziwa kwa huyo.

Kama malisho unayo ya kutosha ni sawa tu kuwa na mifugo mingi, unakamua maziwa tofauti tofauti upendako.
Lakini kwa hali za wengi nahitaji kondoo mmoja tu atakayenitii na kunisikiliza asiyesimanga na kukodolea macho wengine wanalishwa nini na yeye atake kunenepa haraka kama wale.

Sasa wanaume tusiwe wajinga na wazinifu wa kuiba kondoo wa wenyewe,

Poleni wote mnaolisha kondoo mmoja mkiwa wengi kisha mnapimiwa maziwa kila mtu kidogo kidogo.

Nina neno moja dada zangu
Acheni ujuaji watiini mabwana zenu ulikosea kuchagua coz kichwani huna akili moyoni huna Mungu basi pole yako na pambana na hali yako. Kuwa makini maziwa na uzazi huisha.

Jitunze huku subira, utulivu na unyenyekevu iwe siraha yako.

Be blessed.
 
Unaweza ukachagua uliye na hisia nae lakini shetani akaja kukubadilishia...

Shetani ni baba wa uongo...

Na watu wanaomjua Mungu kweli ndio wanavita na lengo la adui shetani ni kuwaaibisha...

Kuna watumishi wakubwa wanaombea watu wanapata watoto lakini wao hawana..

Kuna watumishi wakubwa wanaombea watu na kuwaokoa na kupata wake na waume lakini hawana wake wala waume ..

Wokovu sio mrahisi kama watu wanavyofikiri, ukiokoka unaanza vita na shetani...

Majaribu yanaongezeka zaidi, ukishinda unazidi kukua kiroho..

Pia ukiona mwenzio anapitia majaribu usimsimange ni muda tu unapita si kama hamjui Mungu, ni wakati tu utapita...
 
Unaweza ukachagua uliye na hisia nae lakini shetani akaja kukubadilishia...

Shetani ni baba wa uongo...

Na watu wanaomjua Mungu kweli ndio wanavita na lengo la adui shetani ni kuwaaibisha...

Kuna watumishi wakubwa wanaombea watu wanapata watoto lakini wao hawana..

Kuna watumishi wakubwa wanaombea watu na kuwaokoa na kupata wake na waume lakini hawana wake wala waume ..

Wokovu sio mrahisi kama watu wanavyofikiri, ukiokoka unaanza vita na shetani...

Majaribu yanaongezeka zaidi, ukishinda unazidi kukua kiroho..

Pia ukiona mwenzio anapitia majaribu usimsimange ni muda tu unapita si kama hamjui Mungu, ni wakati tu utapita...
huu uzi huamishiwe jukwaa la dini.
 
Tuje kwenye SUBIRA

Hapa ni pagumu sana kibinadamu...

Lazima uwe na Imani na uwe kiroho sio kimwili ..

Ukisoma habari za Sara kwa macho ya nyama utaona ni rahisi yeye alivyokuwa tasa hawezi kupata mtoto...

Biblia ukiisoma kwa macho ya nyama utaweza ona ni rahisi yaliyotokea kule...

Ila haikuwa rahisi kwa Sara kumwambia mumewe azae na kijakazi...

Aliumia sana akiona umri unakwenda na hana mtoto...

Saburi yaani subira sio kitu kirahisi ni kigumu sana...

Ndo maana alipoambiwa utapata mtoto alicheka...maana alikuwa ni binadamu anahisia na maumivu...

Kwamba iweje mimi kizee nizae...
 
Tuje kwenye SUBIRA

Hapa ni pagumu sana kibinadamu...

Lazima uwe na Imani na uwe kiroho sio kimwili ..

Ukisoma habari za Sara kwa macho ya nyama utaona ni rahisi yeye alivyokuwa tasa hawezi kupata mtoto...

Biblia ukiisoma kwa macho ya nyama utaweza ona ni rahisi yaliyotokea kule...

Ila haikuwa rahisi kwa Sara kumwambia mumewe azae na kijakazi...

Aliumia sana akiona umri unakwenda na hana mtoto...

Saburi yaani subira sio kitu kirahisi ni kigumu sana...

Ndo maana alipoambiwa utapata mtoto alicheka...maana alikuwa ni binadamu anahisia na maumivu...

Kwamba iweje mimi kizee nizae...
Kwa Mungu hakuna Linaloshindikana.
 
HESHIMA kwa mume...

Mwanamke anaweza muheshimu mumewe pamoja na kuwa hana hisia nae ..

Pia anaweza kushiriki tendo la ndoa akiwa hana hisia nae...

Ndio maana zamani wazazi walitafutia wanaume wake wa kuoa...

Na ndoa zikadumu...
 
Material create God is LOVE, Mungu ni pendo.
Mapenzi ni hisia kama huna hisia njoo tukuombee.

Kuna story nimeitoa kwenye maandiko matakatifu ikieleza Mwanamke ni nani kwa Mwanaume.

Palikuwa na watu wawili katika mji mmoja; mmoja wao alikuwa tajiri, wa pili maskini. Yule tajiri alikuwa na kondoo na ng’ombe wengi sana, bali yule maskini hakuwa na kitu, ila mwana kondoo mmoja, mdogo, ambaye amemnunua na kumlea, naye akakua pamoja naye, na pamoja na wanawe; hula sehemu ya posho lake, na kukinywea kikombe chake, na kulala kifuani mwake, akawa kwake kama binti.

Hata msafiri mmoja akamfikilia yule tajiri, naye akaacha kutwaa mmoja wa kondoo zake mwenyewe au mmoja wa ng’ombe zake mwenyewe, ili kumwandalia yule msafiri aliyemfikilia, bali alimnyang’anya yule maskini mwana-kondoo wake, akamwandalia yule mtu aliyemfikilia.

Unafikiri kosa au uwovu wa Tajiri ni mkubwa kiasi gani?

Kondoo (Mfugo)- Mwanamke.
Msafiri - Nyege zinazompata mwanaume mara kwa mara.

Wanaume tunawapenda sana mabinti jamani hisia zetu hazielezeki, life without sex to us ni kama maisha bila kula yani ni kushinda njaa.

Sasa Mwanaume, Tafuta Kondoo wako mmoja mtiifu atakaye lidhika na chakula unacho mpa (pesa) alafu ishigi ukikamua maziwa kwa huyo.

Kama malisho unayo ya kutosha ni sawa tu kuwa na mifugo mingi, unakamua maziwa tofauti tofauti upendako.
Lakini kwa hali za wengi nahitaji kondoo mmoja tu atakayenitii na kunisikiliza asiyesimanga na kukodolea macho wengine wanalishwa nini na yeye atake kunenepa haraka kama wale.

Sasa wanaume tusiwe wajinga na wazinifu wa kuiba kondoo wa wenyewe,

Poleni wote mnaolisha kondoo mmoja mkiwa wengi kisha mnapimiwa maziwa kila mtu kidogo kidogo.

Nina neno moja dada zangu
Acheni ujuaji watiini mabwana zenu ulikosea kuchagua coz kichwani huna akili moyoni huna Mungu basi pole yako na pambana na hali yako. Kuwa makini maziwa na uzazi huisha.

Jitunze huku subira, utulivu na unyenyekevu iwe siraha yako.

Be blessed.
Heshimu watu wote wanaokujali na si wanaume tu!
 
Back
Top Bottom