Heshima yenu wakubwa mimi ni mgeni

Heshima yenu wakubwa mimi ni mgeni

mombaboy

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2015
Posts
272
Reaction score
23
Kama inavyosomeka hapo juu, natumaini nitapata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenu. Asante
 
Karibu sana bana. Ila next time ujue wanaume wanajitambulisha jukwaa la siasa kule, huku tunakaribisha wapendwa(ke) tu. Itifaki izingatiwe tafadhali (whatever the hell that means).
 
karibu mkuu tahadhari katika mmu kuna utani katika thread za sirius na kuna usirius katika thread za utani
 
Karibu mkuu.
Ila unajua mchunga peku hapendi ni kwakuwa hana viatu.
 
Ha ha haaa MMU ipo kazi. . . .

Jipe muda yote yatakaa sawa
 
Momba ni kifupi cha mombasa? Au Momba ndio hivo hivo tu jina limekamilika....?!
 
Asante mkuu ugeni ndo tatizo si unajua tena mtoto halaumiwi kwa kuzaliwa uchi

we ni likongwe la mda,mrefu umu...mnabadili majina na kuji register upya af mnajiita wageni io tabia inaniboa mm baas tuuuuu
 
Back
Top Bottom