Kuna hizo salamu kutoka kwa vijana wa siku hizi ambao kwao kusalimia kwa kusema Shikamoo ni shida. Utawasikia wanakuambia Heshima yako Mkuu, kwa kweli mimi nashindwa niwajibu nini.
Kama na hili nalo limeanzishiwa uzi jukwaani, basi JPM atakumbukwa sana, kama tu alivyosema: ^Ndugu zangu, najua mtanikumbuka kwa mazuri, siyo kwa mabaya!^ Nilimsikia last year akiikata ileeeeeeee ^Shikamoo^ ya Zenj 🙂