Heshima ya Majaji Tanzania imeshuka kwasababu ya kuteuliwa kisiasa

Heshima ya Majaji Tanzania imeshuka kwasababu ya kuteuliwa kisiasa

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,895
Heshima ya Majaji Tanzania imeshuka kwasababu ya kuteuliwa kisiasa majaji wa zamani walikuwa kati wa watu wanao heshimiwa Tanzania

Jaji Nyalali
Jaji Munuo
Jaji Chipeta
Jaji Chuwa
Jaji Mrosso
Jaji Chande
Jaji Ramadhani
Jaji Warioba

Muhula wa mwisho wa Kikwete mpaka sasa wamekuja majaji wanaoteuliwa kisiasa na kuwa machawa. Kezi za Lissu na Chadema zinaonyesha wazi tuna mahakama za aina gani na majaji ambao ni machawa
 
Heshima ya Majaji Tanzania imeshuka kwasababu ya kuteuliwa kisiasa majaji wa zamani walikuwa kati wa watu wanao heshimiwa Tanzania

Jaji Nyalali
Jaji Munuo
Jaji Chipeta
Jaji Chuwa
Jaji Mrosso
Jaji Chande
Jaji Ramadhani
Jaji Warioba

Muhula wa mwisho wa Kikwete mpaka sasa wamekuja majaji wanaoteuliwa kisiasa na kuwa machawa. Kezi za Lissu na Chadema zinaonyesha wazi tuna mahakama za aina gani na majaji ambao ni machawa

Kimsingi, Sekta ya Mahakama hapa Tanzania kwa miaka ya hivi karibuni imepoteza kabisa dira na mwelekeo. Mahakama ya Tanzania hadhi yake imeshuka Sana, hata baadhi ya Watu wanaoteuliwa kuwa Mahakimu na Majaji kwa kweli hawana kabisa sifa stahili za kuweza kuteuliwa kwenye Vyeo hivyo. Watenda Maovu Ndio wamekuwa wakiteuliwa kwenye Vyeo vya Uhakimu na Ujaji sababu tu kwamba ni Makada kindaki-ndaki wa Chama Tawala au Wana uhusiano wa karibu na Watu wa TISS. Hii ni hatari kubwa sana kwa Usalama wa Nchi na Wananchi wake pamoja na Mali zao.

Jaribu kufikiria, Mtu anateuliwa kuwa Hakimu au Jaji eti kisa amefanikisha kuhujumu Jalada la Kesi na Mwenendo wake na kumpatia Ushindi haramu mtu asiyestahili ambaye ni Kada wa Chama Tawala au kwa sababu mtu huyo ni Mfanyakazi wa TISS. It is shameful!
 
Hakuna majaji sahivi
Wote machawa tu

Alafu kwenye list hapo ongezea
Jaji samatta,jaji maneto,jaji kisanga
Hao ukikutana nao kuongea nao ujipange ni watu waliyokuwa wamenyooka

Ova
 
..alikuwepo Jaji Kiongozi Nassoro Mzavas.

..ndiye aliyesikiliza kesi ya uhaini ya kina Hatty McGhee na wenzake.
 
Back
Top Bottom