Kwanza nivizuri utambua nature ya jinsia hiz mbili. Mwanaume kaumbwa na hali ya kumiliki power & authorities, while mwanamke waongozwa na hisia zaidi.
Kwanini mwanaume ndio anatakiwa ampende mke wake? Jibu ni kuwa kwa sababu mwanamke anaongozwa na hisia bas anaitaji matendo ya kihisia zaid ili kumliki na kumfanya ajihisi yupo sehemu salama na kwa mwanaume pia anaitaji matendo ya heshima zaid ili kumfanya ajihisi bado ana possess power & authorities ndan ya imaya yake.