Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,561
- 3,557
Anasubiri huruma ya Mkulu baada ya kurudi madarakani pengine anaweza kumpa Cheo...!
Ni sharti afunge Domo lake kwa wakati huu..
Ni sharti afunge Domo lake kwa wakati huu..
HahahahahahaaaaaaMkuu Hivi mtu kuwa upstairs kichwani au Utaskia jamaa ni very smart..... Ni vigezo gani vinatumika kugundua Hilo au wamefanya nini Kikubwa mpk jamii ikaliona
Ova
Sawa mkuuDah hujanielewa
Daaah, kweli born town kitamboMaflats karibu na ubalozi wa unyamwenga pale
Ova
Ah huyu aachwe tu..hajitambui bado badala ya kutumia kalamu yake kuleta Mapinduzi anatumia kutukandamizaAlafu unajua paskali hajui kama Kuna watu wanamjua, huyu jamaa namjuaga tokea anakaa drive in flats pale..... Mtoto wa magorofani hyu
Ila dah Ana stahili teuzi sjui kwann zinampita
Ova
Akahisi upinzani umekufa...huyu angechukua form chadema Sasa hv angekuwa anapeperusha bendera yachadema vizuriii na angepitaYou said it all. I have admitted in here one too many times that he was the reason for me to join this platform, ila sasa njaa imezidi kwake haahahahahahah
Dar alishakimbizwa na Wajumbe yupo Mwanza huko kwa Wasukuma wenzie.Mimi ni kijana wa miaka isiopungua 30 lakini kwa uwingi na ujazo wa nyuzi zilizoshiba kwa kiwango Pascal mayalla anastahili kupewa tuzo.
Though waliopo CCM na CHADEMA wanamchukia na kumpenda lakini Mimi binafsi naona ni mtu ambae amefungua bongo za waliopo CCM na CHADEMA hata Kama wanambeza akiwakosoa na kuwashauri.
Siku nikija Dar es salaam natamani nikutane na Mzee wangu Pascal Mayalla
Owen Chimela kutoka Mbozi Songwe
Ukiuliza sababu utambiwa eti Kam support Magufuli na serikali yake..Paskali zamani alikua ana heshima kubwa Sana hapa jf... Ikiwemk na Mimi nilikua namheshimu mnoo..sasa hivi namwangalia Kama nyanya mbichi sokoni...
Kwaajili wewe ni peasant unahaki ya kuandika haya
Haaaaa Haaaaa 😂 nyanya mbichi sokoniPaskali zamani alikua ana heshima kubwa Sana hapa jf... Ikiwemk na Mimi nilikua namheshimu mnoo..sasa hivi namwangalia Kama nyanya mbichi sokoni...
Kwaajili wewe ni peasant unahaki ya kuandika haya
2015 alikuwa chadema ghafla nashangaa mara pap. Miaka hii miwili yuko CCM, jamaa Hana msimamo hata mbona hiz kazi zetu za uandishi zinalipa sana tu ukitumia kalamu yako vizuri.Akahisi upinzani umekufa...huyu angechukua form chadema Sasa hv angekuwa anapeperusha bendera yachadema vizuriii na angepita
Kwa miaka yako 30 wewe ni mzee. Endelea kujidanganya kuwa wewe ni kijanaMimi ni kijana wa miaka isiopungua 30 lakini kwa uwingi na ujazo wa nyuzi zilizoshiba kwa kiwango Pascal mayalla anastahili kupewa tuzo.
Though waliopo CCM na CHADEMA wanamchukia na kumpenda lakini Mimi binafsi naona ni mtu ambae amefungua bongo za waliopo CCM na CHADEMA hata Kama wanambeza akiwakosoa na kuwashauri.
Siku nikija Dar es salaam natamani nikutane na Mzee wangu Pascal Mayalla
Owen Chimela kutoka Mbozi Songwe
Kwani kuna ubaya?Usiishie tu kwa huyo Mzee wako Pascal Mayalla! Ukamtembelee pia na Askofu wako Gwajima! Naye ana hamu kubwa ya kuonana na wewe.
2015 alikuwa chadema ghafla nashangaa mara pap. Miaka hii miwili yuko CCM, jamaa Hana msimamo hata mbona hiz kazi zetu za uandishi zinalipa sana tu ukitumia kalamu yako vizuri.