OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,684
- 120,384
Mwanzoni kwa mwaka nilisikia ngoma kali ya madogo (sijawanyaka majina) wakiirudia ngoma ya Mh.Sugu "Wananiita Sugu" ft Stara!Ile ngoma ni hatari sana madogo wamepita mulemule
Juzi kati tena nimesikia ngoma nyingine hatari sana ikirudiwa. Hapa madogo wame-merge ngoma za Mh.Sugu na Mh.Prof.Jay, DSM na Bongo Dar Es Salaam ft Lady Jay D!
Urudiaji huu umekuja kwa wakati.Ni namna poa sana ya kuheshimu ma-legend wetu na Hip Hop kwa ujumla.
Special Rap Song to demand Ben and ROMA is coming soon!Stay tune,tupo hatua za mwisho
Juzi kati tena nimesikia ngoma nyingine hatari sana ikirudiwa. Hapa madogo wame-merge ngoma za Mh.Sugu na Mh.Prof.Jay, DSM na Bongo Dar Es Salaam ft Lady Jay D!
Urudiaji huu umekuja kwa wakati.Ni namna poa sana ya kuheshimu ma-legend wetu na Hip Hop kwa ujumla.
Special Rap Song to demand Ben and ROMA is coming soon!Stay tune,tupo hatua za mwisho