Hesabu za gizani za Membe

Hesabu za gizani za Membe

Kimsingi NCCR haina nguvu yoyote kutoka kwa wapiga kura, na Magufuli ana nongwa na chuki ya wazi kwa cdm. Ukiangalia sasa hivi hakuna tume huru ya uchaguzi, na rais kwa kutumia madaraka yake vibaya, anaweza kuagiza tume imtangaze amtakaye. Hivyo amepanga kuwapa NCCR viti kadhaa maana wamekubali kumsujudia, kwani hawana uwezo wa kushinda chochote kwenye uchaguzi halali. Hivyo watapewa viti kadhaa vya mbeleko ili kuuhadaa umma, na dunia kuwa kulikuwa na uchaguzi huru, ndio maana wapinzani pia wameshinda.

Kwahiyo NCCR wameahidiwa kupewa viti kadhaa ili wawe chama kikuu cha upinzani, kwa sharti la kufanya siasa zinazotakiwa na ccm. Lengo hasa la kubebwa huko ni ili agenda ya kumuongezea Magufuli muda wa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10, wawepo wapinzani wa kuunga mkono. Hivyo hawa wapambe wanacholeta hapa, ni mpango wa nyuma ya pazia unaosubiri kutekelezwa.

muda ni lazima kwa huyu bwana maana anaona kila alichoanzisha hakifiki mwisho
 
Act agombee Membe, Chadema agombee Lissu au Nyalandu mwisho wa siku upinzani umepata kura nyingi ila wamezigawana so Ccm kama kawaida anaibuka mshindi. Ndo uzuri wa hesabu

Hilo ni iwapo rais aliyepo atakubali kuheshimu box la kura. Lakini kwa hali iliyopo, inaonyesha atatumia madaraka yake kupewa % anazozitaka.
 
NCCR Kama tawi la ccm kinaeza kupewa ushindi mezani ili kuleta mizania ya upande mmoja Bungeni... ie chama tawala ccm, chama kikuu cha upinzani ccm
ni mpango wa kuandaa mapapet wa kupiga muhuri siku ya kuongeza uda wa urais mpaka iwe miaka 20 subiri uone ngoma ni novemba tuu sio mbali sana
 
Nimemsikiliza Membe Sana Wiki hii, inaonyesha kapania kweli kweli kugombea. Analalamika Sana kuhusu kanuni za CCM, kuhusu Adhabu yake, kuhusu katiba ya nchi nakadhalika.
Huyu jamaa anaweza akawa na plan B ya Siasa na tunaweza kukutana na Surprise huko mbeleni.
Kuna uwezekano Membe akaangukia ACT wazalendo na sio Chadema Kama wengi wanavyomtabiria. Huyu Kuna asilimia zaidi ya 80 katika hesabu zangu za Ramli akahamia ACT Wazalendo.
Kwa nn ACT na Sio Chadema
Kwa haraka haraka ACT niliwaambia watauzika zaidi Zanzibar kuliko bara hii ni kutokana na uwepo wa Maalim Seif kule Zanzibar. Hili halina ubishi Vita ya Zanzibar inawahusu CCM na ACT.
Kwa maana hiyo ACT wanatafuta mtu Strong huku bara wa kuwasaidia kuitikisa CCM na kwa hesabu zilizopo Membe anaonekana Kama mtu Sahihi na huenda wameshakubaliana.
Kwa Nini ACT watamchukua Membe na sio mwingine?
Watamchukua Membe kwa sababu kuu mbili kwanza ni mtu anayekuja na utamaduni usio Rasmi wa CCM wa kuachiana kijiti kwa miaka kumi. Watu wanataka kumsikia kabeba agenda gani.
Pili ACT wanamuona dili kutokana na eneo analotokea la mikoa ya Kusini. Kiashiria kikubwa Cha hili Ni Mbunge Suleiman Bungara kuhamia ACT kwa haraka na ameshawahi Siti. Bungara ni Mbunge ambaye anajua kusoma alama za Nyakati kwa Siasa za Kusini. Kama akihamia ACT, CCM itakuwa inakutana na Hali isiyoeleweka ukanda huu wa Kusini. Tukumbuke kwa miaka ya hivi karibuni Mikoa hii imekuwa na Siasa zisizoeleweka.
Hesabu zetu CCM zilienda vibaya kumtimua Membe?
Kama akihamia ACT Basi tutakuwa tulipiga hesabu vibaya. Nilitamani reconciliation mapema Sana. Wakati fukuto la udikuzi wa simu lilipoibuka ndani ya CCM solution yangu ilikuwa kufanya reconciliation. Ila niliambulia wazee wawili na Vijana wawili kwenye fukuto lile. Niliambulia wazee Kinana na Yusuph Makamba na Vijana Nape na January Makamba Membe tukamtosa.
Kuna msemo wa kiingereza unasema "an intelligent person knows how to solve any problem. A wise person knows how to avoid that problem.
Hapa tulikataa kata kata kutumia Busara (Wisdom) kumaliza tatizo mapema. Narudia a wise person knows how to avoid that problem hapa baada ya kuona kimbelembele Cha Membe tungetumia Wisdom (Busara) kummaliza tungemtafutia ubalozi kule Somalia au Syria, ni saa ngapi angelitoka njee aite press? Akitaka kuja nchini ni mpaka aombe kibali wizara ya Mambo ya njee.
Kwa Nini Membe anataka Urais Sasa?
Ndani ya CCM kuna utaratibu mwingine ambao Ni mzuri Sana wa kuachiana kwa awamu kijiti Cha kugombea Urais kwa kufuata misingi Fulani hivi ambayo sitaitaja hapa. Kwa maana hiyo ili Membe aje agombee ndani ya CCM atahitaji kusubiri miaka 15 ijayo toka Sasa kwa Sasa ana miaka 67 ukijumkisha na miaka 15 ijayo atafikisha miaka 82. Kiuahalisia atakuwa ameshapoteza Ramani ya Siasa na atakuwa kazeeka Sana.
Nani mwingine atapiteza Kusini?
CUF ya Prof Lipumba ilikuwa inafaidika na Siasa za Kusini lakini kwa Sasa ACT wanazipigia hesabu na nafasi ya Cuf Wanaitaka huko Kusini kama hesabu hizi za Membe na Ramli yangu itakaa sawa.
Hitimisho.
Kama hesabu zikienda hivi bila kubadilika ACT itakuwa ni chama kinachotaka kuongoza Siasa za Upinzani nyuma ya NCCR Mageuzi ambayo hesabu zake Ni kushika usukani wa Siasa za Upinzani. Vita ya kuongoza Siasa za Upinzani itahamia kwa ACT VS NCCR Mageuzi.
Tunaweza kuzirudia hizi Hesabu zikakaa sawa kabla ya uchaguzi mkuu. Bado tunaweza kuepuka kutumia nguvu kubwa na fedha nyingi 2020.
All in All ningepewa nafasi ya kukutana na Membe ningemshauri afungue Kampuni la Korosho huko Kusini awasaidie Wana kuchele... Atapoteza zaidi akiziamini hesabu zake hizi.
View attachment 1490376
Nmekusoma vizuri sana!

Ila iwapo Membe ataenda ACT ccm watakuwa wamepiga hesabu zao vizuri, na huenda pengine ikawa ndio mpango uliopo wa ccm kumfanya Membe aende Act kwa lengo la kuibua chama kingine cha upinzani na kuipoteza chadema! Hii itakuwa inafaida kwa ccm.
 
Kimsingi NCCR haina nguvu yoyote kutoka kwa wapiga kura, na Magufuli ana nongwa na chuki ya wazi kwa cdm. Ukiangalia sasa hivi hakuna tume huru ya uchaguzi, na rais kwa kutumia madaraka yake vibaya, anaweza kuagiza tume imtangaze amtakaye. Hivyo amepanga kuwapa NCCR viti kadhaa maana wamekubali kumsujudia, kwani hawana uwezo wa kushinda chochote kwenye uchaguzi halali. Hivyo watapewa viti kadhaa vya mbeleko ili kuuhadaa umma, na dunia kuwa kulikuwa na uchaguzi huru, ndio maana wapinzani pia wameshinda.

Kwahiyo NCCR wameahidiwa kupewa viti kadhaa ili wawe chama kikuu cha upinzani, kwa sharti la kufanya siasa zinazotakiwa na ccm. Lengo hasa la kubebwa huko ni ili agenda ya kumuongezea Magufuli muda wa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10, wawepo wapinzani wa kuunga mkono. Hivyo hawa wapambe wanacholeta hapa, ni mpango wa nyuma ya pazia unaosubiri kutekelezwa.
Magufuli hana mpango wowote wa kuongeza muda, ila ni hofu yenu tu!

Kwa Membe kwenda ACT huo unaweza kuwa mpango kabisa wa ccm ukiwa na lengo wa kuinua chama kingine cha upinzani tofauti na chadema,.

Kama umemsikiliza vizuri Membe kwenye yale mahojiano na DW utaelewa!

Alafu kuna wajinga wachache hasa wapo huko upinzani wanakuona Membe ni mtu wa maana na wameshaanza kuweka matuamaini kwake. Sasa unajiuliza hivi Membe angekuwa mpinzani kweli wa Magufuli angeishia tu kubwbwaja kwenye twiter? Si angeenda kufuata form dodoma?
 
Kwa taarifa yako Magufuli haifanyi ccm iwe na nguvu kama taasisi. Bali anaigeuza ccm kuwa chama cha kijeshi zaidi kuliko chama cha siasa. Kwa sasa ccm itageuka kuwa chama kinachofanyiwa maamuzi na watu wanaomsujudia mwenyekiti, na sio wanachoamua wanachama. Kwa mantiki hiyo, haya maono ya mwenyekiti ataigeuza ccm kutoka kuwa chama cha ushawishi, na kuwa cha shuruti, na kitategemea zaidi nguvu za rais, kuliko chama kama chama. Mbinu yoyote yenye nia ovu huwa haina mwisho mzuri. Muda utasema hili.
Tangu Magufuli aingie madarakani umeona mambo gani ya ccm aliyoamua yeye kama yeye badala ya chama kama chama?
 
Nimemsikiliza Membe Sana Wiki hii, inaonyesha kapania kweli kweli kugombea. Analalamika Sana kuhusu kanuni za CCM, kuhusu Adhabu yake, kuhusu katiba ya nchi nakadhalika.
Huyu jamaa anaweza akawa na plan B ya Siasa na tunaweza kukutana na Surprise huko mbeleni.
Kuna uwezekano Membe akaangukia ACT wazalendo na sio Chadema Kama wengi wanavyomtabiria. Huyu Kuna asilimia zaidi ya 80 katika hesabu zangu za Ramli akahamia ACT Wazalendo.
Kwa nn ACT na Sio Chadema
Kwa haraka haraka ACT niliwaambia watauzika zaidi Zanzibar kuliko bara hii ni kutokana na uwepo wa Maalim Seif kule Zanzibar. Hili halina ubishi Vita ya Zanzibar inawahusu CCM na ACT.
Kwa maana hiyo ACT wanatafuta mtu Strong huku bara wa kuwasaidia kuitikisa CCM na kwa hesabu zilizopo Membe anaonekana Kama mtu Sahihi na huenda wameshakubaliana.
Kwa Nini ACT watamchukua Membe na sio mwingine?
Watamchukua Membe kwa sababu kuu mbili kwanza ni mtu anayekuja na utamaduni usio Rasmi wa CCM wa kuachiana kijiti kwa miaka kumi. Watu wanataka kumsikia kabeba agenda gani.
Pili ACT wanamuona dili kutokana na eneo analotokea la mikoa ya Kusini. Kiashiria kikubwa Cha hili Ni Mbunge Suleiman Bungara kuhamia ACT kwa haraka na ameshawahi Siti. Bungara ni Mbunge ambaye anajua kusoma alama za Nyakati kwa Siasa za Kusini. Kama akihamia ACT, CCM itakuwa inakutana na Hali isiyoeleweka ukanda huu wa Kusini. Tukumbuke kwa miaka ya hivi karibuni Mikoa hii imekuwa na Siasa zisizoeleweka.
Hesabu zetu CCM zilienda vibaya kumtimua Membe?
Kama akihamia ACT Basi tutakuwa tulipiga hesabu vibaya. Nilitamani reconciliation mapema Sana. Wakati fukuto la udikuzi wa simu lilipoibuka ndani ya CCM solution yangu ilikuwa kufanya reconciliation. Ila niliambulia wazee wawili na Vijana wawili kwenye fukuto lile. Niliambulia wazee Kinana na Yusuph Makamba na Vijana Nape na January Makamba Membe tukamtosa.
Kuna msemo wa kiingereza unasema "an intelligent person knows how to solve any problem. A wise person knows how to avoid that problem.
Hapa tulikataa kata kata kutumia Busara (Wisdom) kumaliza tatizo mapema. Narudia a wise person knows how to avoid that problem hapa baada ya kuona kimbelembele Cha Membe tungetumia Wisdom (Busara) kummaliza tungemtafutia ubalozi kule Somalia au Syria, ni saa ngapi angelitoka njee aite press? Akitaka kuja nchini ni mpaka aombe kibali wizara ya Mambo ya njee.
Kwa Nini Membe anataka Urais Sasa?
Ndani ya CCM kuna utaratibu mwingine ambao Ni mzuri Sana wa kuachiana kwa awamu kijiti Cha kugombea Urais kwa kufuata misingi Fulani hivi ambayo sitaitaja hapa. Kwa maana hiyo ili Membe aje agombee ndani ya CCM atahitaji kusubiri miaka 15 ijayo toka Sasa kwa Sasa ana miaka 67 ukijumkisha na miaka 15 ijayo atafikisha miaka 82. Kiuahalisia atakuwa ameshapoteza Ramani ya Siasa na atakuwa kazeeka Sana.
Nani mwingine atapiteza Kusini?
CUF ya Prof Lipumba ilikuwa inafaidika na Siasa za Kusini lakini kwa Sasa ACT wanazipigia hesabu na nafasi ya Cuf Wanaitaka huko Kusini kama hesabu hizi za Membe na Ramli yangu itakaa sawa.
Hitimisho.
Kama hesabu zikienda hivi bila kubadilika ACT itakuwa ni chama kinachotaka kuongoza Siasa za Upinzani nyuma ya NCCR Mageuzi ambayo hesabu zake Ni kushika usukani wa Siasa za Upinzani. Vita ya kuongoza Siasa za Upinzani itahamia kwa ACT VS NCCR Mageuzi.
Tunaweza kuzirudia hizi Hesabu zikakaa sawa kabla ya uchaguzi mkuu. Bado tunaweza kuepuka kutumia nguvu kubwa na fedha nyingi 2020.
All in All ningepewa nafasi ya kukutana na Membe ningemshauri afungue Kampuni la Korosho huko Kusini awasaidie Wana kuchele... Atapoteza zaidi akiziamini hesabu zake hizi.
View attachment 1490376

CDM wanaamini kabisa, unaposema au kutaja jina la Membe, eti JPM hanywi kahawa wala maji!!!


CDM haipo, kuifanya iwepo lazima Membe atajwe tajwe sana


Sasa kumbe kuna NCCR na ACT, CDM unaiweka wapi?
 
Membe amepikwa akapikika katika uongozi.

Atatufaa sana akiwa rais.

Magufuli siyo rafiki wa wafanyakazi wala utawala wa sheria, apumzishwe tu!
 
Magufuli hana mpango wowote wa kuongeza muda, ila ni hofu yenu tu!

Kwa Membe kwenda ACT huo unaweza kuwa mpango kabisa wa ccm ukiwa na lengo wa kuinua chama kingine cha upinzani tofauti na chadema,.

Kama umemsikiliza vizuri Membe kwenye yale mahojiano na DW utaelewa!

Alafu kuna wajinga wachache hasa wapo huko upinzani wanakuona Membe ni mtu wa maana na wameshaanza kuweka matuamaini kwake. Sasa unajiuliza hivi Membe angekuwa mpinzani kweli wa Magufuli angeishia tu kubwbwaja kwenye twiter? Si angeenda kufuata form dodoma?

Hawezi kuonyesha nia hiyo wazi wazi kwani kuna watu wengi hawaonyeshi kukubali hali hiyo. Ukiona kiongozi haheshimu box la kura, na anataka kuweka watu bungeni kwa utashi wake, hapo unapaswa kuusoma mchezo.

Ccm inaweza kuibua chama kingine cha upinzani zaidi ya cdm, kwani cdm ilipo ilinyanyuliwa kwa hisani ya ccm? Wananchi wameshaamka hivyo wanachagua watakacho, na sio ccm itakacho. Kwahiyo huko Zanzibar, CUF ilinyanyuliwa kwa hisani ya ccm? Acha kuleta consipirance theories.

Huyo Membe ana mvuto gani wa kukibeba chama chochote cha siasa? Wapinzani wanamshabikia kwakuwa anatengeneza tu mgogoro ccm, bila kujali ni wa kupanga au uhalisia. Huyo Membe tutampinga wazi wazi akija upinzani.
 
Tangu Magufuli aingie madarakani umeona mambo gani ya ccm aliyoamua yeye kama yeye badala ya chama kama chama?

Angalia tabia binafsi za Magufuli ndio zimebeba taswira ya ccm. Tabia ya kutoheshimu box la kura ni tabia binafsi ya Magufuli. Tazama toka ameingia madarakani chaguzi zetu zimekuwaje? Huo ni mfano mdogo tu, inahitaji akili ya wastani tu kutambua hili.
 
Nimemsikiliza Membe Sana Wiki hii, inaonyesha kapania kweli kweli kugombea. Analalamika Sana kuhusu kanuni za CCM, kuhusu Adhabu yake, kuhusu katiba ya nchi nakadhalika.
Huyu jamaa anaweza akawa na plan B ya Siasa na tunaweza kukutana na Surprise huko mbeleni.
Kuna uwezekano Membe akaangukia ACT wazalendo na sio Chadema Kama wengi wanavyomtabiria. Huyu Kuna asilimia zaidi ya 80 katika hesabu zangu za Ramli akahamia ACT Wazalendo.
Kwa nn ACT na Sio Chadema
Kwa haraka haraka ACT niliwaambia watauzika zaidi Zanzibar kuliko bara hii ni kutokana na uwepo wa Maalim Seif kule Zanzibar. Hili halina ubishi Vita ya Zanzibar inawahusu CCM na ACT.
Kwa maana hiyo ACT wanatafuta mtu Strong huku bara wa kuwasaidia kuitikisa CCM na kwa hesabu zilizopo Membe anaonekana Kama mtu Sahihi na huenda wameshakubaliana.
Kwa Nini ACT watamchukua Membe na sio mwingine?
Watamchukua Membe kwa sababu kuu mbili kwanza ni mtu anayekuja na utamaduni usio Rasmi wa CCM wa kuachiana kijiti kwa miaka kumi. Watu wanataka kumsikia kabeba agenda gani.
Pili ACT wanamuona dili kutokana na eneo analotokea la mikoa ya Kusini. Kiashiria kikubwa Cha hili Ni Mbunge Suleiman Bungara kuhamia ACT kwa haraka na ameshawahi Siti. Bungara ni Mbunge ambaye anajua kusoma alama za Nyakati kwa Siasa za Kusini. Kama akihamia ACT, CCM itakuwa inakutana na Hali isiyoeleweka ukanda huu wa Kusini. Tukumbuke kwa miaka ya hivi karibuni Mikoa hii imekuwa na Siasa zisizoeleweka.
Hesabu zetu CCM zilienda vibaya kumtimua Membe?
Kama akihamia ACT Basi tutakuwa tulipiga hesabu vibaya. Nilitamani reconciliation mapema Sana. Wakati fukuto la udikuzi wa simu lilipoibuka ndani ya CCM solution yangu ilikuwa kufanya reconciliation. Ila niliambulia wazee wawili na Vijana wawili kwenye fukuto lile. Niliambulia wazee Kinana na Yusuph Makamba na Vijana Nape na January Makamba Membe tukamtosa.
Kuna msemo wa kiingereza unasema "an intelligent person knows how to solve any problem. A wise person knows how to avoid that problem.
Hapa tulikataa kata kata kutumia Busara (Wisdom) kumaliza tatizo mapema. Narudia a wise person knows how to avoid that problem hapa baada ya kuona kimbelembele Cha Membe tungetumia Wisdom (Busara) kummaliza tungemtafutia ubalozi kule Somalia au Syria, ni saa ngapi angelitoka njee aite press? Akitaka kuja nchini ni mpaka aombe kibali wizara ya Mambo ya njee.
Kwa Nini Membe anataka Urais Sasa?
Ndani ya CCM kuna utaratibu mwingine ambao Ni mzuri Sana wa kuachiana kwa awamu kijiti Cha kugombea Urais kwa kufuata misingi Fulani hivi ambayo sitaitaja hapa. Kwa maana hiyo ili Membe aje agombee ndani ya CCM atahitaji kusubiri miaka 15 ijayo toka Sasa kwa Sasa ana miaka 67 ukijumkisha na miaka 15 ijayo atafikisha miaka 82. Kiuahalisia atakuwa ameshapoteza Ramani ya Siasa na atakuwa kazeeka Sana.
Nani mwingine atapiteza Kusini?
CUF ya Prof Lipumba ilikuwa inafaidika na Siasa za Kusini lakini kwa Sasa ACT wanazipigia hesabu na nafasi ya Cuf Wanaitaka huko Kusini kama hesabu hizi za Membe na Ramli yangu itakaa sawa.
Hitimisho.
Kama hesabu zikienda hivi bila kubadilika ACT itakuwa ni chama kinachotaka kuongoza Siasa za Upinzani nyuma ya NCCR Mageuzi ambayo hesabu zake Ni kushika usukani wa Siasa za Upinzani. Vita ya kuongoza Siasa za Upinzani itahamia kwa ACT VS NCCR Mageuzi.
Tunaweza kuzirudia hizi Hesabu zikakaa sawa kabla ya uchaguzi mkuu. Bado tunaweza kuepuka kutumia nguvu kubwa na fedha nyingi 2020.
All in All ningepewa nafasi ya kukutana na Membe ningemshauri afungue Kampuni la Korosho huko Kusini awasaidie Wana kuchele... Atapoteza zaidi akiziamini hesabu zake hizi.
View attachment 1490376
Mwache Membe kifo cha Mende asipotulia
 
Tanzania tunautamaduni wa kila awamu na chama chake kikuu cha Upinzani,

awamu ya Mwinyi tulikua na NCCR,awamu ya Mkapa tulikua na CUF na awamu ya Kikwete tulikua na CHADEMA , kwa awamu ya Magufuli basi atakua ACT.

hesabu ndogo tu hizi Mkuu
 
Nimemsikiliza Membe Sana Wiki hii, inaonyesha kapania kweli kweli kugombea. Analalamika Sana kuhusu kanuni za CCM, kuhusu Adhabu yake, kuhusu katiba ya nchi nakadhalika.
Huyu jamaa anaweza akawa na plan B ya Siasa na tunaweza kukutana na Surprise huko mbeleni.
Kuna uwezekano Membe akaangukia ACT wazalendo na sio Chadema Kama wengi wanavyomtabiria. Huyu Kuna asilimia zaidi ya 80 katika hesabu zangu za Ramli akahamia ACT Wazalendo.
Kwa nn ACT na Sio Chadema
Kwa haraka haraka ACT niliwaambia watauzika zaidi Zanzibar kuliko bara hii ni kutokana na uwepo wa Maalim Seif kule Zanzibar. Hili halina ubishi Vita ya Zanzibar inawahusu CCM na ACT.
Kwa maana hiyo ACT wanatafuta mtu Strong huku bara wa kuwasaidia kuitikisa CCM na kwa hesabu zilizopo Membe anaonekana Kama mtu Sahihi na huenda wameshakubaliana.
Kwa Nini ACT watamchukua Membe na sio mwingine?
Watamchukua Membe kwa sababu kuu mbili kwanza ni mtu anayekuja na utamaduni usio Rasmi wa CCM wa kuachiana kijiti kwa miaka kumi. Watu wanataka kumsikia kabeba agenda gani.
Pili ACT wanamuona dili kutokana na eneo analotokea la mikoa ya Kusini. Kiashiria kikubwa Cha hili Ni Mbunge Suleiman Bungara kuhamia ACT kwa haraka na ameshawahi Siti. Bungara ni Mbunge ambaye anajua kusoma alama za Nyakati kwa Siasa za Kusini. Kama akihamia ACT, CCM itakuwa inakutana na Hali isiyoeleweka ukanda huu wa Kusini. Tukumbuke kwa miaka ya hivi karibuni Mikoa hii imekuwa na Siasa zisizoeleweka.
Hesabu zetu CCM zilienda vibaya kumtimua Membe?
Kama akihamia ACT Basi tutakuwa tulipiga hesabu vibaya. Nilitamani reconciliation mapema Sana. Wakati fukuto la udikuzi wa simu lilipoibuka ndani ya CCM solution yangu ilikuwa kufanya reconciliation. Ila niliambulia wazee wawili na Vijana wawili kwenye fukuto lile. Niliambulia wazee Kinana na Yusuph Makamba na Vijana Nape na January Makamba Membe tukamtosa.
Kuna msemo wa kiingereza unasema "an intelligent person knows how to solve any problem. A wise person knows how to avoid that problem.
Hapa tulikataa kata kata kutumia Busara (Wisdom) kumaliza tatizo mapema. Narudia a wise person knows how to avoid that problem hapa baada ya kuona kimbelembele Cha Membe tungetumia Wisdom (Busara) kummaliza tungemtafutia ubalozi kule Somalia au Syria, ni saa ngapi angelitoka njee aite press? Akitaka kuja nchini ni mpaka aombe kibali wizara ya Mambo ya njee.
Kwa Nini Membe anataka Urais Sasa?
Ndani ya CCM kuna utaratibu mwingine ambao Ni mzuri Sana wa kuachiana kwa awamu kijiti Cha kugombea Urais kwa kufuata misingi Fulani hivi ambayo sitaitaja hapa. Kwa maana hiyo ili Membe aje agombee ndani ya CCM atahitaji kusubiri miaka 15 ijayo toka Sasa kwa Sasa ana miaka 67 ukijumkisha na miaka 15 ijayo atafikisha miaka 82. Kiuahalisia atakuwa ameshapoteza Ramani ya Siasa na atakuwa kazeeka Sana.
Nani mwingine atapiteza Kusini?
CUF ya Prof Lipumba ilikuwa inafaidika na Siasa za Kusini lakini kwa Sasa ACT wanazipigia hesabu na nafasi ya Cuf Wanaitaka huko Kusini kama hesabu hizi za Membe na Ramli yangu itakaa sawa.
Hitimisho.
Kama hesabu zikienda hivi bila kubadilika ACT itakuwa ni chama kinachotaka kuongoza Siasa za Upinzani nyuma ya NCCR Mageuzi ambayo hesabu zake Ni kushika usukani wa Siasa za Upinzani. Vita ya kuongoza Siasa za Upinzani itahamia kwa ACT VS NCCR Mageuzi.
Tunaweza kuzirudia hizi Hesabu zikakaa sawa kabla ya uchaguzi mkuu. Bado tunaweza kuepuka kutumia nguvu kubwa na fedha nyingi 2020.
All in All ningepewa nafasi ya kukutana na Membe ningemshauri afungue Kampuni la Korosho huko Kusini awasaidie Wana kuchele... Atapoteza zaidi akiziamini hesabu zake hizi.
View attachment 1490376
Unachosema; membe atasaidia tu kuongeza kura za majimbo ya kusini kuliko kushinda kiti cha urais. yawezekana lakini kusini kuna majimbo asiyoweza. Wapo akina Nape, Majaliwa, Hawa; Mhagama, n.k. ambao hatawamfuata, ng'o! Lete hesabu ya majimbo anayoweza kupata nafasi ni yapi?

Pia, elewa Membe hana umati kama ule wa Lowasa aliohama nao CCM. Membe yuko peke yake na kwa kiasi kikubwa anajulikana JF tu! Hajaondoka CCM na yeyote wa kumfuata. Waliohama na Lowasa walipata funzo baya kabisa! Waliyemfuata kawaacha huko yeye akarudi. Nani amfuate Membe?

Mwisho kwa mazungumzo ambayo amekuwa akiyafanya, siamini kama akili iko sawa. Membe leo hii anadai tume huru! Wakati aligombea urais kwa tume ile ile! halafu bado anaamini atagombea CCM! Akili haiko fresh!
 
Tanzania tunautamaduni wa kila awamu na chama chake kikuu cha Upinzani,

awamu ya Mwinyi tulikua na NCCR,awamu ya Mkapa tulikua na CUF na awamu ya Kikwete tulikua na CHADEMA , kwa awamu ya Magufuli basi atakua ACT.

hesabu ndogo tu hizi Mkuu
 
Membe sio mjinga kivile, anaweza akatengeneza zengwe ,au "akanogesha "uchaguzi mkuu wa October kwa kumpunguzia Magu wingi wa kura,kwa asili mia kubwa ili kumkata makali ya kujiamini.

Kwake majungu na fitina za kisayansi anayaweza kama jasusi mkongwe.Akiamua kujiongeza kwa kutumia mbinu za medani na fedha ya matajiri ni wazi atakidhalalisha chama cha Mapinduzi vibaya sana,japo Magu atatangazwa mshindi.
CCM wameshindwa kumpoza Membe mapema kabla ya uchaguzi.
 
Hawezi kuonyesha nia hiyo wazi wazi kwani kuna watu wengi hawaonyeshi kukubali hali hiyo. Ukiona kiongozi haheshimu box la kura, na anataka kuweka watu bungeni kwa utashi wake, hapo unapaswa kuusoma mchezo.

Ccm inaweza kuibua chama kingine cha upinzani zaidi ya cdm, kwani cdm ilipo ilinyanyuliwa kwa hisani ya ccm? Wananchi wameshaamka hivyo wanachagua watakacho, na sio ccm itakacho. Kwahiyo huko Zanzibar, CUF ilinyanyuliwa kwa hisani ya ccm? Acha kuleta consipirance theories.

Huyo Membe ana mvuto gani wa kukibeba chama chochote cha siasa? Wapinzani wanamshabikia kwakuwa anatengeneza tu mgogoro ccm, bila kujali ni wa kupanga au uhalisia. Huyo Membe tutampinga wazi wazi akija upinzani.
Hivi unahisi ACT ikiwa na wabunge 10 chadema 2 hapo mpinzani mkuu ni yupi.?

Usichokijua wanachi mnatumika tu, kuzungushwa kuhama huku na kuhamia kule! Kwani unahisi pamoja na huko zanzibar kuwepo na upinzani, huo upinzani uko cuf kama awali?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom