Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 607
Ukiniuliza kwa nini ninaweka hii posting sitakuwa na jibu! Ila imenifurahisha kwamba JK anadai CCM ina wanachama 5m. Akamtaka kila mwanachama akamate watu watatu ambao sio wanachama. Halafu akapata jibu, kwamba atapata sasa support kutoka kwa watu 15m! Je amepatia hesabu au kalamba chini. Msilikize
http://www.youtube.com/watch?v=3L-3ayFRk1E&feature=related
http://www.youtube.com/watch?v=3L-3ayFRk1E&feature=related