Heri ya Sikukuu ya Pasaka - Ghati Chomete

Heri ya Sikukuu ya Pasaka - Ghati Chomete

Habari za Zanzibar

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
282
Reaction score
218
Heri ya Sikukuu ya Pasaka

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete anawatakia wananchi wa mkoa wa Mara na Watanzania wote kwa ujumla Pasaka njema iliyojaa upendo, amani na matumaini mapya.

Anawahimiza kuendeleza mshikamano, kusaidiana na kudumisha maadili mema pamoja na kutumia kipindi hiki kuimarisha imani na kujituma kwa maendeleo ya Taifa.

Mhe. Ghati Zephania Chomete.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara.
IMG-20260404-WA0065.jpg
 
Back
Top Bottom