Habari za Zanzibar
JF-Expert Member
- Dec 18, 2024
- 282
- 218
Heri ya Sikukuu ya Pasaka
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete anawatakia wananchi wa mkoa wa Mara na Watanzania wote kwa ujumla Pasaka njema iliyojaa upendo, amani na matumaini mapya.
Anawahimiza kuendeleza mshikamano, kusaidiana na kudumisha maadili mema pamoja na kutumia kipindi hiki kuimarisha imani na kujituma kwa maendeleo ya Taifa.
Mhe. Ghati Zephania Chomete.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete anawatakia wananchi wa mkoa wa Mara na Watanzania wote kwa ujumla Pasaka njema iliyojaa upendo, amani na matumaini mapya.
Anawahimiza kuendeleza mshikamano, kusaidiana na kudumisha maadili mema pamoja na kutumia kipindi hiki kuimarisha imani na kujituma kwa maendeleo ya Taifa.
Mhe. Ghati Zephania Chomete.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara.