Heri ya siku ya kuzaliwa Heaven sent

Heri ya siku ya kuzaliwa Heaven sent

Live long lady, may God grants u anew long living life after here,maisha yenye mafanikio tele,
 
Hivi yule chaukorofi mwenzio brenda18 kaenda wapi? Hebu akuje mcheze ekotite
Teh tupo busy tunajiandaa na collabo ya mapinduzi dhidi ya aunt bahati bukuku kwa kutumia sauti zetu za kumtoa simba porini
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana... nakumbuka kuna siku tuliandika tarehe zetu za kuzaliwa ziligongana na yangu na wadau wengine wawili hapa.. in short hata mie leo ndio BD yangu... hongera sana...
Yeah nakumbuka twin broo, happy birthday to you too. Daah ngoja niwakumbuke na wale wengine
 
Back
Top Bottom