Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Yes naelekea mitaa ya huko Katavi. Asante sanaHeri ya Krismas na Mwaka mpya. Vipi mwenzetu unaelekea Katavi kama jina lako? wasalimie wote huko. Mwenyezi Mungu awabariki wote, na msherehekee vema. Urudi ukiwa salama.
Asanteni sana wote.
Unaelekea huko kutokea wapi, Dar? Nataka nikuagize unidondoshee mzigo wangu pale maeneo ya Kizwite. Au unapanda treni la RITES ?Yes naelekea mitaa ya huko Katavi. Asante sana
Unaelekea huko kutokea wapi, Dar? Nataka nikuagize unidondoshee mzigo wangu pale maeneo ya Kizwite. Au unapanda treni la RITES ?[/QUOTE
Nitapita barabara maana treni la RITES hawachelewi kugoma, lete huo mzigo nitauacha hapo kizwite. Hata kama upo mzigo wa Fyengelezya, Namanyere, Lyazumbi we lete utafika!
IKO WAPI HII MKUU??Unaelekea huko kutokea wapi, Dar? Nataka nikuagize unidondoshee mzigo wangu pale maeneo ya Kizwite. Au unapanda treni la RITES ?[/QUOTE
Nitapita barabara maana treni la RITES hawachelewi kugoma, lete huo mzigo nitauacha hapo kizwite. Hata kama upo mzigo wa Fyengelezya, Namanyere, Lyazumbi we lete utafika!
Kila la heri Mkuu!,,,,Uzaliwe upya pamoja naye!
ipo SumbawangaIKO WAPI HII MKUU??
AminaKila la heri Mkuu!,,,,Uzaliwe upya pamoja naye!
Heri ya sikukuu mzee karibu sana mndenyi mimi naenda kesho ila kwetu kuna kila kitu so libeneke litaendelea
RAHA YA MILELE WAPEWE MODS WOTE!................na mwanga wa milele uwaangazie...!wapumzike kwa amani...AMINABinafsi nimeshazoea kuona ukurasa huu wa JF unabadirika na kuwa na mandhari nzuuri kabisa wakati wa sikukuu kubwa kama x-mass au Eid sasa leo tar 24 sioni changes za aina yeyote ile au wenzetu mmeenda likizo??
Merry Christmas JF Mods na Members wake wote.. Mungu awatangulie kwa kila jambo
RAHA YA MILELE WAPEWE MODS WOTE!................na mwanga wa milele uwaangazie...!wapumzike kwa amani...AMINA
wamejisahau sana!
hata ban hawatoi