wiseman734
Senior Member
- Apr 29, 2018
- 137
- 210
Wakubwa naomba niwakumbushe kuwa, mshahara tuliochukua mwezi Dec 2018 ndio unatakiwa utufikishe 25 January 2019. Hapa kati kati hakuna mshahara mwingine bali kuna watoto kwenda shule, Ada, sare, pocket money!
Heri ya mwaka mpya wapendwa!
Heri ya mwaka mpya wapendwa!