Hebu mfwate pm umpe makavu yake kwanza maana naona siku hizi wamezidiMod. nani amekwambia uedit heading yangu?
Nani alikwambia Mwanaume kuoa ndio anakua kipofu? Atajuaje kama anakupenda bila kutakasa macho pembeni? Acha wivuKiukweli maisha ya mahusiano ya siku hizi yanatufanya kuwa na stress zaid kuliko amani, utakuta mtu anajidai anakupenda na kuahidi hivyo but akikuweka ndani tu anaanza kukodolea macho wanawake wengine.
Nimeona bora nibaki mwenyewe. Kwaherini wanaume wote .
Nafikiri hii ndo itakuwa episode ya mwisho ya series ya movie yako tamu. Tunasubiri series nyingine na new epsode... kila la kheriKiukweli maisha ya mahusiano ya siku hizi yanatufanya kuwa na stress zaid kuliko amani, utakuta mtu anajidai anakupenda na kuahidi hivyo but akikuweka ndani tu anaanza kukodolea macho wanawake wengine.
Nimeona bora nibaki mwenyewe. Kwaherini wanaume wote .
OK kuwekwa ndani hailipi vipi kuhusu kuwa mchepuko uko tayari?Kiukweli maisha ya mahusiano ya siku hizi yanatufanya kuwa na stress zaid kuliko amani, utakuta mtu anajidai anakupenda na kuahidi hivyo but akikuweka ndani tu anaanza kukodolea macho wanawake wengine.
Nimeona bora nibaki mwenyewe. Kwaherini wanaume wote .
Moniccca kukimbia tatizo sio njia sahihi ya kulitatua, mwombe mungu akusaidie juu ya ndoa yako na kisha ongeza mambo na ufanisi wa aina fulani fulani hivi mbona utakua wa thamani sana juu yake natumai utanielewa sanaKiukweli maisha ya mahusiano ya siku hizi yanatufanya kuwa na stress zaid kuliko amani, utakuta mtu anajidai anakupenda na kuahidi hivyo but akikuweka ndani tu anaanza kukodolea macho wanawake wengine.
Nimeona bora nibaki mwenyewe. Kwaherini wanaume wote .
Ukubwa shidaa....siopole ndo ukubwa huo
Wewe macho huna???Kiukweli maisha ya mahusiano ya siku hizi yanatufanya kuwa na stress zaid kuliko amani, utakuta mtu anajidai anakupenda na kuahidi hivyo but akikuweka ndani tu anaanza kukodolea macho wanawake wengine.
Nimeona bora nibaki mwenyewe. Kwaherini wanaume wote .