Abdul Nondo
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 515
- 2,874
Police acheni double standard.
Heri James na vijana wenzake wa UVCCM wanapaswa kushtakiwe sababu wamevunja sheria ya kanuni za makosa ya jinai kifungu cha 390,"Mtu yeyote ambaye anamshawishi au anamchochea mtu mwingine kutenda kosa, atakuwa anatenda kosa bila kujali kwamba ushawishi au uchochezi huo hauna madhara" ,"Any person who solicits or incites another to commit an offence is guilty of a misdemeanour notwithstanding that the solicitation or incitement has no effect."
Fact: Heri James, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa katika sehemu tofauti tofauti yeye na vijana wengine wa UVCCM walitoa maneno ya kuchochea na kushawishi vijana wa UVCCM kutenda kosa la kuwavamia na kuwashambulia viongozi wa vyama pinzani huku akijua fika ni kinyume na Sheria ya kanuni za mskosa ya jinai kifungu cha 390.
Hivyo napenda kutoa Rai kwa polisi kumchukulia hatua Heri James na vijana wengine wa UVCCM kwa kumfungulia kesi.
Abdul Nondo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heri James na vijana wenzake wa UVCCM wanapaswa kushtakiwe sababu wamevunja sheria ya kanuni za makosa ya jinai kifungu cha 390,"Mtu yeyote ambaye anamshawishi au anamchochea mtu mwingine kutenda kosa, atakuwa anatenda kosa bila kujali kwamba ushawishi au uchochezi huo hauna madhara" ,"Any person who solicits or incites another to commit an offence is guilty of a misdemeanour notwithstanding that the solicitation or incitement has no effect."
Fact: Heri James, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa katika sehemu tofauti tofauti yeye na vijana wengine wa UVCCM walitoa maneno ya kuchochea na kushawishi vijana wa UVCCM kutenda kosa la kuwavamia na kuwashambulia viongozi wa vyama pinzani huku akijua fika ni kinyume na Sheria ya kanuni za mskosa ya jinai kifungu cha 390.
Hivyo napenda kutoa Rai kwa polisi kumchukulia hatua Heri James na vijana wengine wa UVCCM kwa kumfungulia kesi.
Abdul Nondo.
Sent using Jamii Forums mobile app