Sijui, nadhani ni ngumu kupata jibu muafaka. Jaribu kufikiria kuhusu waMasaai, waMang'ati n.k. makabila ambapo kuvaa hereni ni sehemu ya urembo kwa jinsi zote!
Ila kusuka...mh!
Mkuu kama unaweza kuona wamasai wamevaa hereni inakuwaje unashindwa kuwaona wakiwa wamesuka.