Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,752
- 13,406
HaupoNahitaji mistari inayosema, "shetani aliona mwanamke ndiye mwenye akili kuliko Adam hivyo akaanza naye", kama ulivyosema hapo awali.
HaupoNahitaji mistari inayosema, "shetani aliona mwanamke ndiye mwenye akili kuliko Adam hivyo akaanza naye", kama ulivyosema hapo awali.
Kwa akili ya kawaida, si vyote vimeandikwa kwenye Biblia.na kwann adam hakumuhoji Hawa kwann kachuma tunda la mti waliozuiliwa?
“Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.” Mwanzo 3:6.
Unaona hapo yeye mbali na kuona unafaa kwa chakula aliona pia unafaa kwa kupata maarifa
So where did you refer from?haupo
Nimependa hii story samahni naweza kuipata wapi ili niisome ?? Hata kwa kiingereza ni sawaMungu alipomuumba mwanamke, alikuwa akifanya kazi kwa kuchelewa siku ya 6 ...
Malaika akaja na kuuliza, "Kwa nini utumie muda mwingi juu yake?" Bwana akajibu, “Je, umeona sifa zote ninazopaswa kukutana nazo ili kumtengeneza?”
"Lazima afanye kazi katika kila aina ya hali, lazima awe na uwezo wa kukumbatia watoto kadhaa kwa wakati mmoja, kuwa na kumbatio ambalo linaweza kuponya chochote kutoka kwa goti lililojeruhiwa hadi moyo uliovunjika.
Ni lazima afanye haya yote kwa mikono miwili tu, anajitibu akiwa mgonjwa na anaweza kufanya kazi kwa saa 18 kwa siku.”
Malaika alivutiwa. “Mikono miwili tu...haiwezekani! Na huu ndio mfano wa kawaida?" Malaika akasogea karibu na kumgusa yule mwanamke.
"Lakini umemfanya kuwa laini sana, Bwana."
"Yeye ni laini," Bwana alisema, "lakini nimemfanya kuwa na nguvu. Huwezi kuwazia kile anachoweza kuvumilia na kushinda.”
"Anaweza kufikiria?" Malaika akauliza...Bwana akajibu, "Si tu kwamba anaweza kufikiri, anaweza kutafakari na kujadiliana."
Malaika akamgusa mashavuni..."Bwana, inaonekana uumbaji huu unavuja! Umemwekea mizigo mingi sana."
"Havuji...ni machozi," Bwana akamsahihisha Malaika...
"Ni kwa ajili ya nini?" Aliuliza Malaika...Bwana alisema, “Machozi ni njia yake ya kuonyesha huzuni yake, mashaka yake, upendo wake, upweke wake, mateso yake na kiburi chake.”...
Hili lilimgusa sana Malaika,
"Bwana, wewe ni mwerevu sana, ulifikiria kila kitu.
Hakika mwanamke ni wa ajabu"
Bwana akasema, "Hakika yuko ana nguvu zinazomstaajabisha mwanaume. Anaweza kustahimili shida na kubeba mizigo mizito. Anashikilia furaha, upendo na huzuni. Anatabasamu wakati anahisi kupiga mayowe. Anaimba wakati anahisi kulia, analia anapofurahi na kucheka akiogopa. Anapigania anachokiamini.
Upendo wake hauna masharti. Moyo wake unavunjika wakati ndugu wa karibu au rafiki anapokufa lakini anapata nguvu za kuendelea na maisha."
Malaika akauliza, "Kwa hiyo yeye ni kiumbe kamili?"
Bwana akajibu: "Hapana. Ana kasoro moja tu, mara nyingi husahau kile anachostahili."View attachment 2276403
Na hii je?Traumatized women have the potential to become the most powerful people in this world.
The most ignorant members of society call this type of woman “damaged.” But she is the most powerful type of woman there is.
What they forget is that survivors have the most dangerous advantage of all: resilience.
When you try and you try but you can never bring a woman down, you’ll know there is no going back.
Don’t fool yourself. You could never defeat her. You never will.
This is the woman who will always rise from the dead; Lady Lazarus, after going through hell and back.
This is the woman who has burned her feet in the flames time and time again and always lives to tell another tale – even if she has to crawl back to life. . . .
When someone tells her, “You can’t do it,” she says, “Watch me.”
She is fiery light birthed out of wintery darkness. Brought into the underworld by Hades, Persephone brings forth spring and rebirth when she reemerges finally from the cold.
She owns her shadows and seamlessly weaves them into the fabric of her freedom, creativity, imagination and independence. . . .
She lived all of her nightmares in high definition. She was given every reason to give up, handed every justification to never believe in herself or anyone.
But there is raw magic in the ways in which she cultivates a faith in herself, to manifest the dreams her soul was meant to bring forth.
Despite it all, she still conquers.
She still survives and thrives.
The “damaged” woman is capable of immense manifestation not just in spite of, but because of the traumas she has gone through.
There is no one more motivated than a woman who has constantly been told what she cannot do or who she cannot be throughout her lifetime.
There is no one more determined to succeed than someone who has nothing left to lose.
The “damaged” woman doesn’t sign up for the hardships of her journey – but she plays the hell out of the cards she’s been dealt.
The “damaged” woman is not damaged at all – she is wounded, and in channeling and healing her wounds, she becomes the source of incredible energy, the site of unbelievable potential for abundance and change.
She possesses the power to use her wounds for the greater good and her highest good.
She builds her own success and becomes her own rugged hero; tends to her own scraped knees.
She uses every stone thrown at her to build the foundation for her empire.
Brick by brick she builds – and despite every attempt to tear her walls down, she rescues herself again and again.
Despite it all, this type of survivor may still face hatred, envy, greed from those around her. . . .
As a result, she becomes the survivor of countless witch hunts, the target of many persecutors. Yet when they try to burn her at the stake, she does what comes naturally: she resurrects herself. . . .
Now when she creates, she creates new worlds and transforms and manifests on a level that cannot be recreated by someone who never had to struggle to survive.
When you hear the voice of a powerful survivor and the will of a warrior – there is nothing you can do but to stop and listen.
She is the voice of a million lifetimes lived.
She is the voice of the hopeless and the powerless when the fire is brought back to their eyes. She is the harbinger of the justice that the voiceless have longed to hear and feel and touch.
Regardless of how much you try and how it may seem, you can never truly bring a survivor like this to her knees; she already knows the value her scars bring.
She knows how to fill the cracks between her wounds with gold.
She knows how to transform each bitter word cast upon her into an iron-clad will that will set her and other caged birds free.
You can’t ever defeat a “damaged” woman, because she knows exactly how to save herself.”
View attachment 2273911
Kwakweli hatutoboi tukae kwa utulivu tuHii ni kwa ajili ya wahaya na inglishi midiamu
Sisi wa kidumu na ufagio tusubiri wakianza kujadiliana kwa kindengereko
Hii itakufaa?Na hii je?