Mahakama Kuu Tz imetupilia mbali ombi la CHADEMA ililotaka mahakama ifute kesi iliyofunguliwa na Meya wa Ilemela Henry Matata kupinga kufukuzwa uanachama Chadema. Mahakama imesema kesi hiyo itaendelea kusikilizwa hadi itakapotolewa maamuzi.
WABHEJASANA umeipata hiyo?
WABHEJASANA umeipata hiyo?