Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
CDM Hawataki kesi iendelee mahakamani wanataka nn sasa???? Wanajua wata muondoa kwa maandamano????
CHADEMA hamnavyo. wao wakiona hawana uwezo wa kushinda kesi wanakimbilia maandamano
Haya majitu yasije yakammwagia tindikali haya, achukue tahadhari nayo sna
yaan we mburula kweli? si hao hao majaji juzi tu mmewashangilia kwa kuwafutia mashtaka ya ugaidi akina Lwakatare na Kileo
sure mkuu. asipomwagiwa tindikali, atawekewa sumu
Haya majitu ndio yalivyo, yaking'atwa yenyewe anajifanya kujuajua
Kemea uhalifu wa kudharau mahakama kwa nguvu zote
hahahaaaa. ni kweli mkuu. au mawakili wao ni mabingwa wa kujitetea tu lakini si wazuri katika kupanga mashtaka
Chadema wanamuonea Matata kwa sababu za kjinga tu!!!
Title ya thread yako na habari yenyewe ukiisoma hata haviendani........
You Guys really amaze me. You are so myopic that you cannot see beyond your very noses and worse you are colour blind. What a situation. When the court rule in favour of your cronies u jump in joy and shout out in favour of the judiciary. But when the very same institution rules in favour of your opposition, you cry foul.majaji wenye kadi za njano na kijani wanalazimisha kesi ili huyu mhuni aendelee ku-buy time hadi 2015..
majambazi ya ccm tutaonana 2015,tutapiga kura za hasira na kuzilinda
Kesi kuendelea kusikilizwa ndio kubwagwa kwa CHADEMA?
Title ya thread yako na habari yenyewe ukiisoma hata haviendani........
Mahakama Kuu Tz imetupilia mbali ombi la CHADEMA ililotaka mahakama ifute kesi iliyofunguliwa na Meya wa Ilemela Henry Matata kupinga kufukuzwa uanachama Chadema. Mahakama imesema kesi hiyo itaendelea kusikilizwa hadi itakapotolewa maamuzi.
WABHEJASANA umeipata hiyo?
Mimi hapa sijaelewa ,Matata kashinda nini?
Chadema wanamuonea Matata kwa sababu za kjinga tu!!!
Kiboko ya Chadema Mwanza, Dr Slaa, alileta ubabe kakutana na za uso.
![]()
Chadema wanamuonea Matata kwa sababu za kjinga tu!!!
Akishinda kesi Kileo mnasema mahakama imetenda haki, akishinda Matata mnasema CCM imeingilia maamuzi ya mahakama.
yaan we mburula kweli? si hao hao majaji juzi tu mmewashangilia kwa kuwafutia mashtaka ya ugaidi akina Lwakatare na Kileo