Henry Matata aibwaga CHADEMA Mahakamani

Henry Matata aibwaga CHADEMA Mahakamani

Kiboko ya Chadema Mwanza, Dr Slaa, alileta ubabe kakutana na za uso.

images

Dr Slaa alitoka baru kisa matokeo ya Matata. Alikuja kufunga vifungo vyake Tinde....maana alichokipata hataweza sahau asilani.
 
Matata kiboko ya CDM.....hawataweza kusahau kilichowapata Mwanza
 
Ngoja tusubiri tuone mwisho wa saga itakuwaje!
 
Ma ccm yamechanganyikiwa juu ya nguvu za cdm,hivyo kila wakinusa jambo kidogo la cdm Wanalishikia bango ili na wao wasikike.MAGAMBA MNATIA AIBU
 
wakati mwingine muwe na uhakika na mnachopost humu.
Hiyo ni ruling tu ya Preliminary Objection na sio hukumu kamili
kesi inaendelea kusikilizwa pande zote na baadae hukumu kamili.
sasa chadema imebwagwa vipi? kwa huo uamuzi mdogo kuwa kesi inaendelea?
 
wakati mwingine muwe na uhakika na mnachopsot humu.
Hiyo ni ruling to ya P.O na sio hukumu kalimili
kesi inaendelea kusikilizwa pande zote na baadae hukumu kamili.
sasa chadema imebwagwa vipi? kwa huo uamuzi mdogo kuwa kesi inaendelea?

Kila Application ina ruling yake, kama ilivyotokea kwa Rwaka na Kileo wamepangua na kufutiwa ugaidi tukashangilia, lakini kesi zao za msingi za kutenda kosa zinaendelea!!!
 
Kama ilivyokua Arusha, subiri. Ulikimbia humu JF.
Hivi unamjua Matata wewe? Matata atakaa kwenye uongozi wake mpaka muda wake utakapokwisha.

Kashindwa Dr.Slaa.

Kashindwa Mbowe.

Kashindwa Wenje.

Kashindwa Hainess.

Wameshindwa waandamanaji wa Chadema.
 
Hivi unamjua Matata wewe? Matata atakaa kwenye uongozi wake mpaka muda wake utakapokwisha.

Kashindwa Dr.Slaa.

Kashindwa Mbowe.

Kashindwa Wenje.

Kashindwa Hainess.

Wameshindwa waandamanaji wa Chadema.

Kweli Matata ni Mtata!
 
Back
Top Bottom