Hukumu ya Matata, Mwanza ndiyo sahihi hauwezi kumfukuza diwani aliyechaguliwa na wananchi.hivi hii kesi ina tofauti na ile ya madiwani wa CDM pale Arusha?
mbona hukumu zinakuwa tofauti?
samahani lakini, mimi ni mbumbumbu wa sheria ndo maan nataka kujua.
hivi hii kesi ina tofauti na ile ya madiwani wa CDM pale Arusha?
mbona hukumu zinakuwa tofauti?
samahani lakini, mimi ni mbumbumbu wa sheria ndo maan nataka kujua.
Hukumu ya Matata, Mwanza ndiyo sahihi hauwezi kumfukuza diwani aliyechaguliwa na wananchi.
Kila Application ina ruling yake, kama ilivyotokea kwa Rwaka na Kileo wamepangua na kufutiwa ugaidi tukashangilia, lakini kesi zao za msingi za kutenda kosa zinaendelea!!!
Hukumu ya Matata, Mwanza ndiyo sahihi hauwezi kumfukuza diwani aliyechaguliwa na wananchi.
Chadema wanamuonea Matata kwa sababu za kjinga tu!!!
Hukumu ya Matata, Mwanza ndiyo sahihi hauwezi kumfukuza diwani aliyechaguliwa na wananchi.
Hukumu ya Matata, Mwanza ndiyo sahihi hauwezi kumfukuza diwani aliyechaguliwa na wananchi.
Nipo kamanda wangu harakati za kukusanya maoni ya raia zilinibana mkuu concord nhMkuu kijome :yield: nimekutafuta sana...umepotelea wapi kamanda?