Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 980
- 3,646
Katika mahojiano maalum aliyoyafanya leo, Alhamisi Mei 15, 2025 kupitia kipindi cha Furaha Morning, Kilewo alifichua kwa uchungu kuwa baadhi ya viongozi wa CHADEMA kwa sasa wanatumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhujumu harakati za mageuzi nchini.
"Huenda wakawa wanatumika kwa kujua au kutokujua, kwa sababu watu Hao Hao wa upande wa pili wa CCM wanawadanganya kwa Kuwapa backup kwenye hii operation kwa kuwaambia komaeni shikilieni hapo hapo"
Kwa sasa kuna watu ndani ya CHADEMA wanafanya kazi ya CCM kwa sura ya upinzani. Wameuza dhamira ya chama kwa maslahi binafsi. Hii siyo CHADEMA tuliyoianzisha,” alisema Kilewo akiwa hewani kupitia Furaha FM.
"Huenda wakawa wanatumika kwa kujua au kutokujua, kwa sababu watu Hao Hao wa upande wa pili wa CCM wanawadanganya kwa Kuwapa backup kwenye hii operation kwa kuwaambia komaeni shikilieni hapo hapo"
Kwa sasa kuna watu ndani ya CHADEMA wanafanya kazi ya CCM kwa sura ya upinzani. Wameuza dhamira ya chama kwa maslahi binafsi. Hii siyo CHADEMA tuliyoianzisha,” alisema Kilewo akiwa hewani kupitia Furaha FM.