Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,198
- 852
<br /><br /><br />
<br /><br />
ummm...ok u are saying? Maana hata nimerudia ulichoandka mara 10 cjaelewa!
<br />
da mwenyewe p didy cjamuelewa kwa kweli...
<br /><br /><br />
<br /><br />
ummm...ok u are saying? Maana hata nimerudia ulichoandka mara 10 cjaelewa!
<br />
<br />
Duh! The bridegroom has a face like a bull chewing wasps. I am wondering how Joyce got to fall in love with such a somber visaged dude. Now I have to start to hold to a notion '' love is blind''
Ndio mana umekula ban. Yaani harusi ya kitoto ufunge wewe, mambo ya kitoto ufanye wewe, tindikali wewe, halafu uje uwahadae watu hapa eti henry kileo as if sio wewe unayejifanyia promo huMu.Watu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
Wewe kileo hufai kuishi wala kupumua hewa ya mwenyezi mungu hata dakika 1. Wewe ni muuwaji, una roho ya kinyama na huna huruma na binadamu wenzako. Ukifa ni mama yako tu ndio ataliaYule katibu wa mkoa wa kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam na mwanadada joyce kiria mtangazaji wa EATV siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake bwa godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo, wengi wawashiriki walipongezasherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hawo.
Wewe kileo hufai kuishi wala kupumua hewa ya mwenyezi mungu hata dakika 1. Wewe ni muuwaji, una roho ya kinyama na huna huruma na binadamu wenzako. Ukifa ni mama yako tu ndio atalia
kileo anapenda kweli kula matapishi. hivi kilewo, ulishawahi kuwa na demu kabla ya joyce, manake ni kama umelishwa limbwata vile, hata hujioni masikini. pole. wenzio tulishamsugua huyo hadi tukamchoka tena wakati akiwa na yule mme wake. we ndo umeridikaa na ile kitu masikini weeee
kileo anapenda kweli kula matapishi. hivi kilewo, ulishawahi kuwa na demu kabla ya joyce, manake ni kama umelishwa limbwata vile, hata hujioni masikini. pole. wenzio tulishamsugua huyo hadi tukamchoka tena wakati akiwa na yule mme wake. we ndo umeridikaa na ile kitu masikini weeee
Wewe si ndio bwana harusi? Si useme ndo wewe tuu..?Watu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
Jamaa kumbe haudumii familia. Leo mambo yote hadharani.Wewe si ndio bwana harusi? Si useme ndo wewe tuu..?
Bongo ina vutuko jamaniii
Walivaa Kombat Bila viatuMfano wa kuigwa ni kuvaa kombati au?
Ni we mwenyewe unajitolea taarifa kumbr
Yule katibu wa mkoa wa kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam na mwanadada joyce kiria mtangazaji wa EATV siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake bwa godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo, wengi wawashiriki walipongezasherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hawo.
Nadhani wakati anaandika hii comment alikuja kwa id tofauti ila baadae mods wakafanya yao.haki ya Mungu,hii dunia ina mambo,bwana harusi ajianzishia uzi wa kujipongeza raia wameufukua kweli msema kweli ni muda/wakati