Hemed Kivuyo wa ITV ananivutia kuangalia michezo

kuchangumu

JF-Expert Member
Apr 2, 2014
724
290
Ki ukweli habari za michezo hususani za Tanzania sio mfuatiliaji sana . Ila huyu jamaa ananivutia kuziangalia kila siku kutokana na sauti yake ya kipekee na vijimisemo vyake anaporipoti.

Hemed Kivuyo we ni mkali mkuu mungu kakujalia sauti ya kipekee komaa DW na BBC wanaweza kukuona.
 
yaani sie home si waangaliaji habari, ila akiwepo tu anaanza kutangaza lazma tujongee kumsikiliza.
Anambwembwe za kuvutia, mara dahri na dahri.
Keep it up ahmed kivuyo
 
Yes, huyu mgosi ni creative na bahati nzuri si zile za 'copy n paste'...truly Tanzanian!
 
yaani sie home si waangaliaji habari, ila akiwepo tu anaanza kutangaza lazma tujongee kumsikiliza.
Anambwembwe za kuvutia, mara dahri na dahri.
Keep it up ahmed kivuyo

you sound like kodi ya nyumba shikamoo moms boy. ehehh?
 
Mimi huwa narekodi anapotangaza..namkubali sana...Jana alichemka..si kweli aliyekuwa akitembea na tochi mchana Galileo Galilei
 
you are welcome. nadhani Matola anajua jf ni ya wazee tu, kasahau na vijana wapo pia:smile-big:

Kuna watu wakisikia mtu unakaa nyumbani wanaumwaaa, Manake wakijifikiria wana mwaka wa kumi hawajakanyaga kwao, waliondoka kama wakimbizi.
Raha sana unaamka asubuhi unapishana na ndugu zako...
home sweet home bwana....hata ukizeeka

Nawadedicatia wimbo wa ningekuwa kwetu by Nyota Waziri na Bizman.
 
Last edited by a moderator:
Jamaa kwa kweli mkari na aliniacha hoi alipose "Stars ambayo imewahi kutibiwa na Dr. bingwa Maxio Maximo, Jan Pelson na hatimaye Kim Palsen inaonekana haitaweza kupona tena, baada ya kubugizwa bao tatu kwa sufuri" kuna uncle wangu mmoja akifika tu akikuta habari lazima aulize Kivuyo amesha ripoti.
 
Back
Top Bottom