Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,387
- 3,575
Hili la VRF limenishangaza kweliš²
Huyo anaangalia kwenye salary slip badala ya kuangalia kwenye mfumo wa bodiWenzako wameondolewa, sasa wewe badala uende ofisi za HESLB ujue imekuwaje unakuja humuJF kupiga domo la kisiasa utafikiri ofisi zao ziko humu.
Humu utaungana na wapiga domo wa siasa mtapiga domo, mtatukana halafu utakula utalala, halafu utaendelea kukatwa na maisha yako yatabaki vile vile.
Hizo degree siku hizi wanawapa mamburula tu.
Huoni siku hizi walivyotamalaki na Rais wetu washampiga jab ambayo wataalamu wao ndio wanaojua nje ndaniyule mwamba aliogopwa mpaka na wazungu