Rais Samia alitangaza value retention fee kwa wanafaika Heslb inafutwa, tamko la Serikali kupitia Waziri wa Elimu Sayansi na teknolojia alitangaza inafuta vrf,inafuta makato ya waliochelewa kulipa deni kuanzia mwezi July 2021.
Cha kushanganza makato yameendelea kuwepo mwezi huu,hakuna Cha deni kupungua,hakuna taarifa yeyote,tunajiuliza kwanini viongoz watuongopee.
Ile 1% ya punguzo ya Kodi ya mshahara tuliyoahidiwa nalo ni changa la macho.
Cha kushanganza makato yameendelea kuwepo mwezi huu,hakuna Cha deni kupungua,hakuna taarifa yeyote,tunajiuliza kwanini viongoz watuongopee.
Ile 1% ya punguzo ya Kodi ya mshahara tuliyoahidiwa nalo ni changa la macho.